Yanga v/s Polisi morogoro National Stadium Live!

Yanga v/s Polisi morogoro National Stadium Live!

jmoo mnakaa mkuu Masuke

Mkuu Azam hamna ubavu wa kutufunga jmosi, tumewatandika mechi tatu mfululizo, Supercup: Simba 2-1 Azam; Ngao ya Hisani: Simba 3-2 Azam; na mechi ya Kirafiki: Simba 2-1 Azam, kwa hiyo jmosi ni mwendelezo tu lazima tuwatandike, tena tutawawekea vijana kama Hassan Kondo, Haroun Chanongo, Edward Christopher, Jonas Mkude, Abdallah Seseme na Ramadhan Singano.
 
Hakika hii ni wiki nzuri kwa mashabiki wa yanga.tukutane pale simba kapakatwa tukajipongeze kidogo

Mkuu siyo wiki hii tu,safari sasa ndo imeanza huu mwendo mpaka mwisho wa Ligi
 
Kwa nini mkuu???!!!!

Wewe huwasikilizi:-
1. Hawajui kutangaza kabisa,kama huyu anayeitwa Lange(James Lange sijui nani Lange) ndo hajui kabisaa
2.Wanagombea kutangaza
3.Wanachapia kishenzy mfano Jamaa akimsifia suva anasema ni Kijana shupavu,katika umri wake kuaminiwa na team kubwa kama ya Simba si mchezo
 
Yanga punguzeni kelele! arguably hako ni katimu dhaifu kuliko zote ktk ligi hii
 
MUNGU saidia hawa watu(Simba na Azam) watoke sare tasa Jumamosi,ili tuchukue uongozi rasmi
 
Wewe huwasikilizi:-
1. Hawajui kutangaza kabisa,kama huyu anayeitwa Lange(James Lange sijui nani Lange) ndo hajui kabisaa
2.Wanagombea kutangaza
3.Wanachapia kishenzy mfano Jamaa akimsifia suva anasema ni Kijana shupavu,katika umri wake kuaminiwa na team kubwa kama ya Simba si mchezo

Kama ni hivyo basu hawafai mkuu,sasa fanya hivi,hapo kwenye red temea mate mengi sana.
 
Yanga punguzeni kelele! arguably hako ni katimu dhaifu kuliko zote ktk ligi hii


Haijalishi kama ni timu dhaifu au la.cha muhimu kwetu ni point tatu na magoli mengi.usilete maneno ya mkosaji hapa.
 
Wewe kumbe ni jirani yangu,baada ya game tukutane pale Mawenzi Garden kwaajili ya kujipongeza kwa bierre 2,3 kwa ushindi mnono!

we jamaa nikukute hapo mawenzi garden tukamuke mipombe vizuri kwani ushindi mtamu
 
Wewe huwasikilizi:-
1. Hawajui kutangaza kabisa,kama huyu anayeitwa Lange(James Lange sijui nani Lange) ndo hajui kabisaa
2.Wanagombea kutangaza
3.Wanachapia kishenzy mfano Jamaa akimsifia suva anasema ni Kijana shupavu,katika umri wake kuaminiwa na team kubwa kama ya Simba si mchezo

Sikiliza tbc 92.3 fm
 
Mkuu Azam hamna ubavu wa kutufunga jmosi, tumewatandika mechi tatu mfululizo, Supercup: Simba 2-1 Azam; Ngao ya Hisani: Simba 3-2 Azam; na mechi ya Kirafiki: Simba 2-1 Azam, kwa hiyo jmosi ni mwendelezo tu lazima tuwatandike, tena tutawawekea vijana kama Hassan Kondo, Haroun Chanongo, Edward Christopher, Jonas Mkude, Abdallah Seseme na Ramadhan Singano.

Kagame Cup 2012 Simba 1-3 Azam, no further comment until Saturday.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom