Yanga v/s Polisi morogoro National Stadium Live!

Kunaweza kuwa na mabadiliko kwenye kuanzia nafasi ya 5 na kwendela lakini mimi narudia kusema msimamo wa ligi utakuwa kama huu hapa chini, especially kwa nafasi 4 za kwanza...

Dont go away!
Ligi itaisha hivi (8 bora):

1. Yanga (Bingwa)
2. Azam (mshindi wa pili)
3. Simba / Coastal
4. Simba / Coastal
5. Mtibwa
6. Prisons
7. Toto
8. Ruvu JKT

Simba sevuni hii post na msikimbie mwishoni mwa ligi!
 
Kunaweza kuwa na mabadiliko kwenye kuanzia nafasi ya 5 na kwendela lakini mimi narudia kusema msimamo wa ligi utakuwa kama huu hapa chini, especially kwa nafasi 4 za kwanza...

Dont go away!

Tupe msimamo wa sasa ndo tusave huo wa baadaye.
 
....mpira unaochezwa na Yanga unatia kichefuchefu....sijui wachezaji leo wamenyweshwa supu ya Bamia!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom