ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Kwa hiyo Simba unaamini ni noma pia au hiyo imani yako ni kwa timu zingine tu?
kwikwikwikwi ya leo kali..
Kwa hiyo Simba unaamini ni noma pia au hiyo imani yako ni kwa timu zingine tu?
Ligi itaisha hivi (8 bora):
1. Yanga (Bingwa)
2. Azam (mshindi wa pili)
3. Simba / Coastal
4. Simba / Coastal
5. Mtibwa
6. Prisons
7. Toto
8. Ruvu JKT
Simba sevuni hii post na msikimbie mwishoni mwa ligi!
Naona kaenda kimoja hataki kujibu.kwikwikwikwi ya leo kali..
Anachanganya habari za bongo na ulaya kuongeza radha!!
Kunaweza kuwa na mabadiliko kwenye kuanzia nafasi ya 5 na kwendela lakini mimi narudia kusema msimamo wa ligi utakuwa kama huu hapa chini, especially kwa nafasi 4 za kwanza...
Dont go away!
Naona kaenda kimoja hataki kujibu.
Naona amerekebisha na sasa nimemuelewa. Nilijua bange zimeshamchanganya si unajua vijana wa kileo
Bado 2.....bado 2.....bado....
Vipi mmeishiwa vocha?
Huyo ni Anselm, soma post yangu namba 98, nikijibu post yake namba 95.Nani kaenda kimoja hata sikuelewi yani naona hayo maandishi ka kinyonga vile kwa sababu yanabadilikabadilika
natamani iwe mbili mbili basi tu..
Unaota wewe!!!Kunaweza kuwa na mabadiliko kwenye kuanzia nafasi ya 5 na kwendela lakini mimi narudia kusema msimamo wa ligi utakuwa kama huu hapa chini, especially kwa nafasi 4 za kwanza...
Dont go away!