Yanga v/s Ruvu shooting Live National Stadium

Yanga v/s Ruvu shooting Live National Stadium

namanyele

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
1,852
Reaction score
611
Leo mechi ni nzuri tutakuwa uwanjani masaa machache toka sasa tukishuhudia pambano jepesi kwa Yanga,ikishinda leo basi ubingwa jangwani mana lazima mnyama Simba apakatwe pale ccm-kirumba na sokoine-mbeya raundi ya pili,tutakuwa tunapeana matokeo mechi ikianza,cjui kama star tv watakuwa hewani
 
Rudisheni hela alizokula Mbuyi kwa Simba kwanza...afu ndo mshangilie ubingwa.
 
star tv wataonesha mechi ya yanga v ruvu. usikose. mia
 
seif abdallah kaifungia Ruvu shooting katika dakika ya pili.
RUVU 1 - 0 YANGA. mia
 
Leo mechi ni nzuri tutakuwa uwanjani masaa machache toka sasa tukishuhudia pambano jepesi kwa Yanga,ikishinda leo basi ubingwa jangwani mana lazima mnyama Simba apakatwe pale ccm-kirumba na sokoine-mbeya raundi ya pili,tutakuwa tunapeana matokeo mechi ikianza,cjui kama star tv watakuwa hewani

Hapo mlipo mnapambana na wanaoshuka daraja,wala msizungumzie ubingwa.
 
Naskia Mshakojolewa Cha Kwanza

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
jerry tegete amejiangusha ndani ya 18 na kupewa kadi ya njano. mia
 
seif abdallah ameifungia goli la pili Ruvu dakika ya 10.
RUVU 2 - 0 YANGA. mia
 
mbui twite hayupo kwenye kiwango kabisa. kapigwa chenga la maudhi na kufungwa goli la pili yanga mado hawajatulia kabisa. inaonekana goli mbili zimewachanganya. mia
 
yanga katikati haipo. leo naona gumbo kaanza. tegete analemba sana pale mbele. mia
 
charles boniface mkwasa anaye fundisha timu ya taifa ya wanawake wa tanzania ndo anaifundisha Ruvu shooting. mia
 
Hehehehehehehehehehe haya bana

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
twite amefunga goli dakika ya 20 kutoka nje ya 18. mia
RUVU 2 - YANGA 1. mia
 
Back
Top Bottom