namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 611
Leo mechi ni nzuri tutakuwa uwanjani masaa machache toka sasa tukishuhudia pambano jepesi kwa Yanga,ikishinda leo basi ubingwa jangwani mana lazima mnyama Simba apakatwe pale ccm-kirumba na sokoine-mbeya raundi ya pili,tutakuwa tunapeana matokeo mechi ikianza,cjui kama star tv watakuwa hewani