Labda wewe ndo umeishiwa,halafu angalia huyo pro...alivyofunga bao la 3 zuri.
huyo ni tatizo kwani humjui?
Huyo ni Anselm, soma post yangu namba 98, nikijibu post yake namba 95.
.....kidogo sasa Yanga wameamuka sasa, wameanza kuchangamka.
Chamazi mpira umekwisha 1-1
Kuongoza ligi unafikiri masihara, tunawasubiri jmosi tuwadidimize kabisa na nyie Yebo yebo tuwarahisishie kupanda nafasi ya pili.Chamazi mpira umekwisha 1-1
enheee mshafunga goli la nne au bado maana huko chamazi ishakuwa tabu..
Huu mpira anaocheza Kavumbagu angekuwa anaucheza Akuffor Simba wasingetoa sare zote zile
Huyu refa katumwa nn?