Yanga: Musonye atuombe radhi

Yanga: Musonye atuombe radhi

Simba mashabiki Timu ikiwa na hali mbaya mnaitelekeza,na Timu za Kkoo kama usipokuwa inafanya vizuri huwezi muona shabiki kiwanjani,sikweli kwamba uwanja ulijaa kwasababu ya manji bali timu bora,enzi izo Simba mnajifanya mnatumia vijana kumbe njaa mlikuwa mnajaza viwanja?
Mkuu soka letu bado linahitaji hamasa ili watu waende uwanjani ndio desturi ya mtanzania... Ni kweli timu ikiwa bora watu wataenda uwanjani ila ili wajae zaidi wanahitaji hamasa ndio maana Muro na Manala wanafanya kazi hiyo.
Kipindi kile Manji mechi ya kuingiza ela mfano ile ya Mazembe na ile ya Simba eti watu wanaingia bure kwanini watu wasijae?
 
Jana Kilomoni alikuwa live EA Radio akitema cheche
 
Huyu M'senge Musonye sijui kwanini wanamchekea sana kwa sababu hii ni mara ya pili! Yaani alivyo mpumbavu! Yaani timu zingine zote zikijitoa ni sawa kwao, lkini wakijito Yanga, lazima alete maneno ya ki'senge! Hivi pamoja na uzee wake hana account kwenye social media tumfuate huko tukamshikishe adabu huyu mwanaharamu? Nakumbuka miaka ya nyuma Yanga ilijitoa halafu huyu mzen'ge akawatukana sana Yanga! Na tabia ya Wakenya ( nahisi ni Mkenya huyu mbwiga), ni ile spirit yao ya kishenzi ya kuwaona Watanzania ni mafa'la ndio mana mpaka huyu mbwa amekuwa akiitukana Yanga mara kwa mara!


Please, mwenye social account ya Musonye
 
Huyu M'senge Musonye sijui kwanini wanamchekea sana kwa sababu hii ni mara ya pili! Yaani alivyo mpumbavu! Yaani timu zingine zote zikijitoa ni sawa kwao, lkini wakijito Yanga, lazima alete maneno ya ki'senge! Hivi pamoja na uzee wake hana account kwenye social media tumfuate huko tukamshikishe adabu huyu mwanaharamu? Nakumbuka miaka ya nyuma Yanga ilijitoa halafu huyu mzen'ge akawatukana sana Yanga! Na tabia ya Wakenya ( nahisi ni Mkenya huyu mbwiga), ni ile spirit yao ya kishenzi ya kuwaona Watanzania ni mafa'la ndio mana mpaka huyu mbwa amekuwa akiitukana Yanga mara kwa mara!


Please, mwenye social account ya Musonye
Inabidi tumfuate kweli huko kwenye akaunti zake za social media.
 
Inabidi tumfuate kweli huko kwenye akaunti zake za social media.
Unajua nilikuwa sifahamu nini kinachoendelea lakini nilipoona tu heading, nikakumbuka tukio la miaka ya nyuma kuhusu huyu Musonye jinsi ambavyo alikuwa ametukana; kwahiyo nikajua tu atakuwa ameleta tena upumbavu wake! Ngoja nitafute social media accounts! Unaweza kunitajia full name ili nijaribu kumtafuta (though na mimi nalafuta jina lake)!
 
Unajua nilikuwa sifahamu nini kinachoendelea lakini nilipoona tu heading, nikakumbuka tukio la miaka ya nyuma kuhusu huyu Musonye jinsi ambavyo alikuwa ametukana; kwahiyo nikajua tu atakuwa ameleta tena upumbavu wake! Ngoja nitafute social media accounts! Unaweza kunitajia full name ili nijaribu kumtafuta (though na mimi nalafuta jina lake)!
Nicholas Musonye, (spelling za first name sina uhakika)
Inabidi tumpandie kule kule ashike adabu yake kabisa.
Kujitoa wengine ni shwali ila Yanga akijitoa nongwa.
 
Fanya utafiti hapo ulipo uliza watu kumi kisha njoo na jibu wawili yanga wanane simba hao mashabiki wengi mnawatoa wapi usidhani hata ndani kwako au kwenu mkiwa watano wanne simba yanga mmoja pengine usipate kabisa kila aliona Post hii afanye utafiti alete jibu msema kweli mpenzi wa Mungu
 
Fanya utafiti hapo ulipo uliza watu kumi kisha njoo na jibu wawili yanga wanane simba hao mashabiki wengi mnawatoa wapi usidhani hata ndani kwako au kwenu mkiwa watano wanne simba yanga mmoja pengine usipate kabisa kila aliona Post hii afanye utafiti alete jibu msema kweli mpenzi wa Mungu
Hapa nlipo Yanga ni wengi kuliko Simba.
 
Kwani Mikia Fc hamjapigwa goli 15 mechi 3 ndani ya miezi 6.
Hiyo ulotaja ya mwaka 1998 tena Raja akiwa kwao ndo ya kutusumbua sisi?
Ninyi mmebakwa goli 5 5 mkaja na msemo kila mtu ashinde kwao mbona hamjiangalii?
Mwisho yote simba ilishiriki robo fainali ya mabingwa wa Afrika !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom