Yanga: Musonye atuombe radhi

Yanga: Musonye atuombe radhi

Yanga inapokuwa kwenye ubora,Na simba inapokuwa kwenye ubora Simba inaingiza mashabiki wengi viwanjani kuliko Yanga hili lipo wazi nimeshashuhudia
Mara ya mwisho Yanga kuijaza taifa ni vs Mazembe tena ilikua free entry lakini Simba hili lishakuwa kawaida kwenye international games

In addition sijawahi kwenda taifa kwenye game za Simba vs Yanga na nikaona upande wa Yanga umejaa kuliko Simba hata ile Simba yenye chipukizi wengi dhidi ya Yanga ya kina Haruna na Msuva haikutokea hii
 
Simba ina True fans mzee acha utani, Yanga ni timu yenye mashabiki wengi kanda ya ziwa na kati, huku mjini ni sisi nikiwa na maana ya Pwani, kaskazini hadi mji kasoro habari.

Mechi yetu ya Confederation tuliyocheza dhidi ya Al masry unaikumbuka pale tulijaza.
Mechi yetu na Azam okwi anatupia goli pekee la ushindi unaikumbuka pale pia tulijaza.

Umehitaji mechi mbili tu au unataka niongeze?

Mechi yetu dhidi ya mbao dodoma tulitapisha Jamhuri ile
Vipi ya Yanga na Mazembe?
 
Yanga inapokuwa kwenye ubora,Na simba inapokuwa kwenye ubora Simba inaingiza mashabiki wengi viwanjani kuliko Yanga hili lipo wazi nimeshashuhudia
Mara ya mwisho Yanga kuijaza taifa ni vs Mazembe tena ilikua free entry lakini Simba hili lishakuwa kawaida kwenye international games

In addition sijawahi kwenda taifa kwenye game za Simba vs Yanga na nikaona upande wa Yanga umejaa kuliko Simba hata ile Simba yenye chipukizi wengi dhidi ya Yanga ya kina Haruna na Msuva haikutokea hii
Ni mtizamo tu, mashabiki wa hizi timu huwezi pata statistics halisi.
 
Simba ina True fans mzee acha utani, Yanga ni timu yenye mashabiki wengi kanda ya ziwa na kati, huku mjini ni sisi nikiwa na maana ya Pwani, kaskazini hadi mji kasoro habari.

Mechi yetu ya Confederation tuliyocheza dhidi ya Al masry unaikumbuka pale tulijaza.
Mechi yetu na Azam okwi anatupia goli pekee la ushindi unaikumbuka pale pia tulijaza.

Umehitaji mechi mbili tu au unataka niongeze?

Mechi yetu dhidi ya mbao dodoma tulitapisha Jamhuri ile
Mpaka mbembelezwe na Haji ndio mwende uwanjani!
 
True fans wapi kwa misimu mitano timu yenu ilikuwa na hali mbaya kabisa lakini hamkuisaidia,hata Viongozi wenu wanajua kuwa nyie ni matokeo oriented tu,kwahali tuliyokuwa nayo last season, Simba msingeweza kusurvive

Na kwaataarifa yako Yanga ndiyo yenye mashabiki wengi Tz
Hakuna takwimu za mashabiki wa hizi timu mbili kwa namba ila kuna makadirio
 
Wala hauna statistics za uhakika, hiyo ni 'guess work'
Ushabiki wa kuenda uwanjani hutegemea na timu gani ipo kwenye 'peak' msimu husika.
Kuna nyakati mkiwa na wachezaji chipukizi chini ya Kibadeni na program yenu ya wachezaji vijana ikafeli hata uwanjani mlikuwa hamuendi kama tu Yanga ambavyo siku hizi hawana morali ya kwenda uwanjani baada ya downfall ya Manji.
Hivyo timu hizi hutegemea ipi ipo kwenye wakati mzuri kipesa.

Turudi kwenye kiini, kama alijua Yanga timu ya Hovyo na sio Bingwa, aliialika ya nini?
Nipinge kwa ushahidi au kwa hoja kuwa haikuwa hivyo, umeniuliza nikutajie mechi mbili tu za simba za kuanzia 2014-2017 zilizojaza bila kucheza na Yanga.

Nikakutajia Simba va Al masry Kwa mkapa.
Simba vs Azam kwa mkapa.
Nikakuongezea na
Simba vs Mbao Jamhuri Dodoma.
Hapa niliweka kando mechi za Simba mikoani.
Sasa nipinge kwa hoja au ushahidi na si kuniambia ni "Kazi ya kutabiri"
 
Yanga ndiyo yenye mashabiki wengi Tz,kama hutaki basi
Mkuu, waungwana hawafanyi hivyo, wenye akili hawasusi, wenye kujua hawakimbii baki hapa hapa.

Nipe namba ya Wanachama wa klabu ya Yanga nikupe ya Simba.
Takwimu za mashabiki hakuna aliyenazo hawafahamiki wako kiasi gani ila inasadikika Pwani yote, kaskazini na Morogoro wamejaa mashabiki wa Simba.

Kanda ya Ziwa na kati wamejaa mashabiki wa Yanga lakini cha kushangaza Simba ilivyoenda Musoma ilipata mapokezi ya kifalme uwanja ulitapika kuanzia saa tatu asubuhi.
Yanga ilivyokwenda ilikuwa kawaida tu.
Sasa hili tuliache kwa maana hakuna takwimu sahihi yawezekana ni upepo mzuri wa Simba uliopo.


Tujikite kwenye namba ya wanachama
 
Mkuu, waungwana hawafanyi hivyo, wenye akili hawasusi, wenye kujua hawakimbii baki hapa hapa.

Nipe namba ya Wanachama wa klabu ya Yanga nikupe ya Simba.
Takwimu za mashabiki hakuna aliyenazo hawafahamiki wako kiasi gani ila inasadikika Pwani yote, kaskazini na Morogoro wamejaa mashabiki wa Simba.

Kanda ya Ziwa na kati wamejaa mashabiki wa Yanga lakini cha kushangaza Simba ilivyoenda Musoma ilipata mapokezi ya kifalme uwanja ulitapika kuanzia saa tatu asubuhi.
Yanga ilivyokwenda ilikuwa kawaida tu.
Sasa hili tuliache kwa maana hakuna takwimu sahihi yawezekana ni upepo mzuri wa Simba uliopo.


Tujikite kwenye namba ya wanachama
Kama unazungumzia wenye kadi,utakuwa unazungumzia wa Dsm na mikoa kadhaa kama Moro,Mbeya na Mwanza,ila kuna kitabu Ungekuwa karibu ningekupa ukisome,Nadhani ungepata Picha
 
Hii kwa wanachama, mashabiki, wapenzi na wakereketwa wa Timu ya Yanga, mabingwa wa Ligi kuu bara mara 27.

Nicolas Musonye, umetukosea sana kwa maneno mabovu dhidi yetu, sababu za Yanga kujitoa ni dhahiri na haziepukiki.

Wito : Uombe radhi kwa Timu yetu kabla ya mwezi huu kuisha lasivyo sisi Yanga ukija Tanzania tutaitisha maandamano ya kukupinga kwa maneno yako mabaya na kejeli kama si dharau.
Kwanini awaombe radhi kwani hamkuwahi kufungwa goli 6-0 kule Morroco?
 
Kama unazungumzia wenye kadi,utakuwa unazungumzia wa Dsm na mikoa kadhaa kama Moro,Mbeya na Mwanza,ila kuna kitabu Ungekuwa karibu ningekupa ukisome,Nadhani ungepata Picha
Kuna mashabiki na wanachama, wanachama wanafahamika Simba na Yanga zina matawi hadi Musoma kule sasa ipe namba ya wanachama ndio inafahamika ila mashabiki haijulikani namba yao ni wengi mno.

Wapo mpaka vijijini ndani ndani huko si rahisi kujua idadi yao
 
Lazima aumie,simba na yanga ni giants wa east Africa,halafu amepanic nini wakati kasema wameongezeka As Vita Motema Pembe na ZESCO,kombe lenyewe wanawania dola 30,000.
Mil kama 62,timu ikae Rwanda, mazoezi,gharama,na bado ikose hiyo hela na bado Club bingwa inawasubiri,nilitamani azam nao wangejito
Mbona kapaniki sana,wamemuumiza sana? Watu wamejanjaluka hawataki kumlisha burebure
 
Kuna mashabiki na wanachama, wanachama wanafahamika Simba na Yanga zina matawi hadi Musoma kule sasa ipe namba ya wanachama ndio inafahamika ila mashabiki haijulikani namba yao ni wengi mno.

Wapo mpaka vijijini ndani ndani huko si rahisi kujua idadi yao
Ngoja nijipange mwakani nitafute wadau tufanye utafiti, hata mm nawewe tunaweza fanya hili kwa kutumia sample ya mikoa kadhaa
 
Lazima aumie,simba na yanga ni giants wa east Africa,halafu amepanic nini wakati kasema wameongezeka As Vita Motema Pembe na ZESCO,kombe lenyewe wanawania dola 30,000.
Mil kama 62,timu ikae Rwanda, mazoezi,gharama,na bado ikose hiyo hela na bado Club bingwa inawasubiri,nilitamani azam nao wangejito
Kabisa asee
 
True fans wapi kwa misimu mitano timu yenu ilikuwa na hali mbaya kabisa lakini hamkuisaidia,hata Viongozi wenu wanajua kuwa nyie ni matokeo oriented tu,kwahali tuliyokuwa nayo last season, Simba msingeweza kusurvive
Na kwaataarifa yako Yanga ndiyo yenye mashabiki wengi Tz
Mkuu pamoja na hali ya kipindi cha nyuma hatujawahi kupitisha bakuli... halafu yanga enzi za Manji mlijaza uwanja mkiambiwa bure bila kiingilio.
 
Wala hauna statistics za uhakika, hiyo ni 'guess work'
Ushabiki wa kuenda uwanjani hutegemea na timu gani ipo kwenye 'peak' msimu husika.
Kuna nyakati mkiwa na wachezaji chipukizi chini ya Kibadeni na program yenu ya wachezaji vijana ikafeli hata uwanjani mlikuwa hamuendi kama tu Yanga ambavyo siku hizi hawana morali ya kwenda uwanjani baada ya downfall ya Manji.
Hivyo timu hizi hutegemea ipi ipo kwenye wakati mzuri kipesa.
Turudi kwenye kiini, kama alijua Yanga timu ya Hovyo na sio Bingwa, aliialika ya nini?
Hata kipindi cha Manji mlijaza pakiwa hakuna kiingilio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom