logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,240
- 5,533
Hii kwa wanachama, mashabiki, wapenzi na wakereketwa wa Timu ya Yanga, mabingwa wa Ligi kuu bara mara 27.
Nicolas Musonye, umetukosea sana kwa maneno mabovu dhidi yetu, sababu za Yanga kujitoa ni dhahiri na haziepukiki.
Wito : Uombe radhi kwa Timu yetu kabla ya mwezi huu kuisha lasivyo sisi Yanga ukija Tanzania tutaitisha maandamano ya kukupinga kwa maneno yako mabaya na kejeli kama si dharau.
Nicolas Musonye, umetukosea sana kwa maneno mabovu dhidi yetu, sababu za Yanga kujitoa ni dhahiri na haziepukiki.
Wito : Uombe radhi kwa Timu yetu kabla ya mwezi huu kuisha lasivyo sisi Yanga ukija Tanzania tutaitisha maandamano ya kukupinga kwa maneno yako mabaya na kejeli kama si dharau.