cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 87,332
- 140,344
Simbaaa tayariiii Robo ni uhakikaa,Kwahiyo nyie mmeshaingia Robo..!!?
Simbaaa tayariiii Robo ni uhakikaa,Kwahiyo nyie mmeshaingia Robo..!!?
Belouzdad anachekea chooni,Sio lazima kwasababu hakuna atakayelingana nae point hata kama mechi ya mwisho dhidi ya Al Ahly Yanga akifungwa magoli 7 na hata kama Belouizdad akishinda magoli 10 dhidi ya Medeama hatofikisha point 8. Rudia kusoma na kwa makini kisha jumlisha point
Yanga anatakiwa aombee Al Ahly avune point 6 kwenye marudiano dhidi ya Belouizdad na dhidi Medeama hivyo wote Medeama na Belouizdad watabakia na point zao 4. Yanga nae anatakiwa ahakikishe anapata point 6 kwenye mechi zake za kwa Mkapa. Hivyo atakuwa na point 8 zisizoweza kufikishwa na yeyote kati ya Belouizdad na Medeama.
Mleta uzi kaleta hesabu za vidole (assumption) lakini kashindwa kufanya assumption katika scenario zote. Mwelekeo wa Yanga utapatikana katika mechi ya kesho dhidi ya Medeama. Akishindwa kumfunga basi hana mwendo tena. Ila akishinda basi katika moja ya sala na maombi yake ni Al Ahly amfunge Belouizdad.Belouzdad anachekea chooni,
sio kweli yanga inahitaji ushindi hata wa goli moja tuView attachment 2847530
Ki ukweli japo mi shabiki wa Simba nataka pia Yanga apite robo, sababu itakuwa heshima kwa TZ kuwa na timu mbili robo fainali, katika timu 8 (Hata Misri ni mara chache anafanikiwa kuingiza timu 2 robo fainali)
Ili Yanga awe na nafasi ya kufuzu robo sio tu amfunge Medeama bali anatakiwa kumfunga kwa goli 5 au zaidi
Likely Scenario ipo hivi
Yanga anagombea nafasi ya pili na C.R.B huku yanga akiwa na goal difference ya -3 wakati CRB ana +2
Yanga akishinda goli 5 atakuwa na pointi 5 na G.D ya +2 na CRB akitoa draw na Ahly kule Algeria (likely scenario) naye atakuwa na pointi 5 na G.D yake ikibaki +2 na Yanga kuwa nafasi ya tatu
Mechi ya 5 Yanga dhidi ya Ahly kule Misri akijitahidi akifungwa 2-1 bado atakuwa na pointi zake 5 bado na goal diffence ya +1
CRB akimfunga Medeama kule Algeria 2-0 naye atakuwa na pointi 8 na G.D ya +4
Mechi ya mwisho Yanga dhidi ya CRB anamfunga goli 3-0 kwa Mkapa anakuwa na pointi 8 na G.D ya +4 huku CRB akibaki na pointi nane pia na G.D ya +1 na Yanga anapitaa kwa kuwa na magoli mengi
So mechi ya kesho ndio mechi pekee ambayo Yanga ana nafasi kubwa ya ushindi, ushindi basi uwe mnono....
Yaan panga pangua, Al ahly na Belouzdad wanaenda Robo.Mleta uzi kaleta hesabu za vidole (assumption) lakini kashindwa kufanya assumption katika scebario zote. Mwelekeo wa Yanga utapatikana katika mechi ya kesho dhidi ya Medeama. Akishindwa kumfunga basi hana mwendo tena. Ila akishinda basi katika moja ya sala na maombi yake ni Al Ahly amfunge Belouizdad.
Hata Medeama anaweza kwenda robo sasa sijui unetumia kigezo gani cha kupanga na kupangua?Yaan panga pangua, Al ahly na Belouzdad wanaenda Robo.
Asec hata akitoa draw na Simba bado atakuwa na uhakika wa kuongoza kundiKwahiyo kwenye sababu namba moja, Simba kufufuka na morali kwanini hukutaka kuangalia ishu ya ubora na vipaji vya wachezaji kwa kila timu? Je wakati Simba ikiwa imefufuka je Asec wao watakuwa kwenye kifo? Au watakuwa wako vile vile wasione umuhimu wa kushinda mechi?
Asec wanaweza kuwa na midset hiyo ya kuona wameshafuzu ila pia wanaweza kuwa na mindset ya kuzitaka alama tatu kwa Simba ili ajihakikishie kuongoza kundi kwa point 13 ambazo haziwezifikiwa na timu yoyote ile.
Ndugu yangu adriz hili faili vipi halifai kuwekwa hapo masijala kweli?Niwe mkweli siwezi nikamuombea Yanga apite makundi.
Ntamuombea ashinde mechi lakini sio afike robo
Robo ambayo Simba kwa miaka minne amekuwa akiingia lakini yeye amekuwa mtu wa kwanza kunidhihaki na sasa kanitunhia jina Mwakarobo.
Hapana siwezi kuwa mnafiki.
Lazima ajue kwanini kuna ugumu kwenye haya mashindano, lazima atambue kwanini kufika hapa ilimchukua miaka 27.
Hii ndio nidhamu ya mpira ambayo anatakiwa kujifunza na sio kupiga domo kwa timu pinzani na kuzipa mbinu za kumfunga Simba.
Ha ha ha nimecheka kama mazuriView attachment 2847530
Ki ukweli japo mi shabiki wa Simba nataka pia Yanga apite robo, sababu itakuwa heshima kwa TZ kuwa na timu mbili robo fainali, katika timu 8 (Hata Misri ni mara chache anafanikiwa kuingiza timu 2 robo fainali)
Ili Yanga awe na nafasi ya kufuzu robo sio tu amfunge Medeama bali anatakiwa kumfunga kwa goli 5 au zaidi
Likely Scenario ipo hivi
Yanga anagombea nafasi ya pili na C.R.B huku yanga akiwa na goal difference ya -3 wakati CRB ana +2
Yanga akishinda goli 5 atakuwa na pointi 5 na G.D ya +2 na CRB akitoa draw na Ahly kule Algeria (likely scenario) naye atakuwa na pointi 5 na G.D yake ikibaki +2 na Yanga kuwa nafasi ya tatu
Mechi ya 5 Yanga dhidi ya Ahly kule Misri akijitahidi akifungwa 2-1 bado atakuwa na pointi zake 5 bado na goal diffence ya +1
CRB akimfunga Medeama kule Algeria 2-0 naye atakuwa na pointi 8 na G.D ya +4
Mechi ya mwisho Yanga dhidi ya CRB anamfunga goli 3-0 kwa Mkapa anakuwa na pointi 8 na G.D ya +4 huku CRB akibaki na pointi nane pia na G.D ya +1 na Yanga anapitaa kwa kuwa na magoli mengi
So mechi ya kesho ndio mechi pekee ambayo Yanga ana nafasi kubwa ya ushindi, ushindi basi uwe mnono....
Mwakarobo kwa sababu amekuwa kubwa jinga miaka yote hajifunzi akakwama hapohapo mfano wake ni sawa jamaa ambaye kila siku anaingia chumbani na mkewe wanakuwa faragha na kusaula lakini hafanyi chochote ataonekana kolo kuliko jamaa mwengine ambaye anajitafuta bado hajaoa bado lakini anaesema siku nitakapo mpata mweza kitaumana na ikawa hivyo hakufanya uzembe alipojipata.Niwe mkweli siwezi nikamuombea Yanga apite makundi.
Ntamuombea ashinde mechi lakini sio afike robo
Robo ambayo Simba kwa miaka minne amekuwa akiingia lakini yeye amekuwa mtu wa kwanza kunidhihaki na sasa kanitunhia jina Mwakarobo.
Hapana siwezi kuwa mnafiki.
Lazima ajue kwanini kuna ugumu kwenye haya mashindano, lazima atambue kwanini kufika hapa ilimchukua miaka 27.
Hii ndio nidhamu ya mpira ambayo anatakiwa kujifunza na sio kupiga domo kwa timu pinzani na kuzipa mbinu za kumfunga Simba.
Huu uzi unafaa kabisa ushaSeviwa kwenye security box folder namba 202 jina special case .
Sasa mpira wa kutegemea sala kwenye mechi nyingine ni mpira mgumu sana...Yanga hatahitaji hizo sala kama akimfunga Medeama goli 5 akafunga na CRB goli 3 halafu akatoe draw kule Misri...... hata CRB akimfunga Ahly bado Yanga atapitaMleta uzi kaleta hesabu za vidole (assumption) lakini kashindwa kufanya assumption katika scenario zote. Mwelekeo wa Yanga utapatikana katika mechi ya kesho dhidi ya Medeama. Akishindwa kumfunga basi hana mwendo tena. Ila akishinda basi katika moja ya sala na maombi yake ni Al Ahly amfunge Belouizdad.
Ndio nimesema pia itabidi amfunge CRB goli 3 kwa 0Safari ya Yanga robo fainali ni ngumu, ni ngumu sababu ya kuruhusu zile goal 3. Huku cha kwanza wana angalia H2H na mshindani wako ikiwa point mpo sawa. Mshindani wa Yanga ni CR B hivyo Yanga anatakiwa kumfunga CR B 3 au zaidi kitu ambacho ni kigumu.
Hata kama akimfunga Medeama 10 ila akishindwa kumfunga CR B goal 3 hapa kwa Mkapa ajiandae safari yake ndio imeiva arudi kucheza na Mashujaa na marefa wake wa mchongo kina Kheri Sasi.
Kinachoitajika ni point 3 ayo mengine ya goli 5 ya kwako, hesabu zako za tuki na waki hazina nafasi!View attachment 2847530
Ki ukweli japo mi shabiki wa Simba nataka pia Yanga apite robo, sababu itakuwa heshima kwa TZ kuwa na timu mbili robo fainali, katika timu 8 (Hata Misri ni mara chache anafanikiwa kuingiza timu 2 robo fainali)
Ili Yanga awe na nafasi ya kufuzu robo sio tu amfunge Medeama bali anatakiwa kumfunga kwa goli 5 au zaidi
Likely Scenario ipo hivi
Yanga anagombea nafasi ya pili na C.R.B huku yanga akiwa na goal difference ya -3 wakati CRB ana +2
Yanga akishinda goli 5 atakuwa na pointi 5 na G.D ya +2 na CRB akitoa draw na Ahly kule Algeria (likely scenario) naye atakuwa na pointi 5 na G.D yake ikibaki +2 na Yanga kuwa nafasi ya tatu
Mechi ya 5 Yanga dhidi ya Ahly kule Misri akijitahidi akifungwa 2-1 bado atakuwa na pointi zake 5 bado na goal diffence ya +1
CRB akimfunga Medeama kule Algeria 2-0 naye atakuwa na pointi 8 na G.D ya +4
Mechi ya mwisho Yanga dhidi ya CRB anamfunga goli 3-0 kwa Mkapa anakuwa na pointi 8 na G.D ya +4 huku CRB akibaki na pointi nane pia na G.D ya +1 na Yanga anapitaa kwa kuwa na magoli mengi
So mechi ya kesho ndio mechi pekee ambayo Yanga ana nafasi kubwa ya ushindi, ushindi basi uwe mnono....
Wakilingana point na timu yoyote katika group stage, kinachoangaliwa next ni 'superior head-to-head rule', yaani timu hizo mbili zilipokutana zenyewe katika mechi mbili ni ipi ilikuwa na matokeo bora ikiwemo goal difference na away goal(s) baina ya hizo timu, bila kujali matokeo ya mechi nyingine.View attachment 2847530
Ki ukweli japo mi shabiki wa Simba nataka pia Yanga apite robo, sababu itakuwa heshima kwa TZ kuwa na timu mbili robo fainali, katika timu 8 (Hata Misri ni mara chache anafanikiwa kuingiza timu 2 robo fainali)
Ili Yanga awe na nafasi ya kufuzu robo sio tu amfunge Medeama bali anatakiwa kumfunga kwa goli 5 au zaidi
Likely Scenario ipo hivi
Yanga anagombea nafasi ya pili na C.R.B huku yanga akiwa na goal difference ya -3 wakati CRB ana +2
Yanga akishinda goli 5 atakuwa na pointi 5 na G.D ya +2 na CRB akitoa draw na Ahly kule Algeria (likely scenario) naye atakuwa na pointi 5 na G.D yake ikibaki +2 na Yanga kuwa nafasi ya tatu
Mechi ya 5 Yanga dhidi ya Ahly kule Misri akijitahidi akifungwa 2-1 bado atakuwa na pointi zake 5 bado na goal diffence ya +1
CRB akimfunga Medeama kule Algeria 2-0 naye atakuwa na pointi 8 na G.D ya +4
Mechi ya mwisho Yanga dhidi ya CRB anamfunga goli 3-0 kwa Mkapa anakuwa na pointi 8 na G.D ya +4 huku CRB akibaki na pointi nane pia na G.D ya +1 na Yanga anapitaa kwa kuwa na magoli mengi
So mechi ya kesho ndio mechi pekee ambayo Yanga ana nafasi kubwa ya ushindi, ushindi basi uwe mnono....