Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,282
- 1,096,053
Punguza kupanic angalia clips hapo juu. Waliorusha viti ni mashabiki wa simba pia bungeni huwa wanagonga meza kwa mikono na sio kupanda juu ya hizo meza kugonga kwa miguu
Bungeni kwenyewe wakishangilia wanagonga meza. Hapa tunaongelea kuleta vurugu kwa kurusha viti kwa mashabiki wengine.
Hiyo clip haionyeshi mshabiki hata mmoja wa Al Ahly akirusha kiti, wote wako kwenye vibe la kushangilia tu hawana shida na mtu.