Yanga hatarini kuadhibiwa na FIFA kwa kuichangia CCM Tsh. 100 Milioni

Yanga hatarini kuadhibiwa na FIFA kwa kuichangia CCM Tsh. 100 Milioni

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Wakuu!

Kabla hili la Yanga SC halijapoa, tuzungumze kidogo kuhusu kilichotokea.

Labda wengi hawakutarajia kwamba klabu maarufu ya Yanga (Wananchi) ingejikuta katikati ya mjadala mkubwa wa Kitaifa hivi karibuni. Yanga imejikuta ikijadiliwa sana na kukosolewa vikali baada ya kuchangia kiasi cha Tsh. 100 milioni katika harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), iliyolenga kukusanya Tsh. bilioni 100 kwa ajili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Mchango huo, ulitolewa na Rais wa timu hiyo, Eng. Hersi Said.

Sasa wenye mpira wao FIFA wanasemaje kupitia Kanuni?

FIFA, kama Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu, lina kanuni za wazi kabisa zinazozuia vilabu vyake wanachama kuchangia vyama vya siasa. Sheria na kanuni za FIFA zinaeleza bila shaka kwamba vyama wanachama lazima vizingatie maagizo ya shirikisho, ikiwa ni pamoja na kanuni ya kutoegemea upande wowote kisiasa na kutojitenga na vyombo vya nje.

Kwa mfano, Kanuni za FIFA, Kifungu cha 4, kinakataza ubaguzi wa kisiasa na ushawishi wa kisiasa katika soka. Kifungu hiki kinahakikisha kwamba vilabu vya mpira vinapaswa kubaki na uhuru wa utendaji kazi, bila kujihusisha na siasa au kushawishiwa kisiasa.

Aidha, Kanuni za FIFA, Vifungu vya 14 na 19, vinavyohusiana na usimamizi wa vilabu na mashirikisho ya soka, vinataka vyombo hivi viwe huru na bila ushawishi wa kisiasa. Hii inamaanisha kuwa vilabu vya mpira vinapaswa kufanya shughuli zao za kimaendeleo kwa manufaa ya mchezo, na siyo kwa maslahi ya kisiasa au vyama vya siasa.

Kwa hivyo, mchango wa Yanga SC kwa CCM, ingawa ni suala la kisiasa, unaweza kuwa na athari kwa kanuni hizi, kwani inakiuka dhana ya uhuru wa vilabu wa kutoshawishika kisiasa.
 
Huu mchezo wameucheza na hiki ndiyo kitaenda kutokea:
1. Hersi ataomba kujiuzulu (ameshaahidiwa ubunge)
2. Wanachama watajitokeza kumtetea na "kumsamehe". Watakataa kujiuzulu kwake. Wataaambia wenye vidomodomo waache, wakumbuke yote ambayo Hersi ameifanyia Yanga
3. Watajitokeza wanachama wengine wakikumbushia urafiki wa damu kati ya Yanga na CCM. Tutakuja kuambiwa Yanga ndiyo ilipigana vita ya Kagera
4. Yanga watatangaza kuanza ujenzi wa uwanja kwa msaada wa Samia.
5. Kelele za mashabiki zitapotea

Lengo litakuwa limetimia. Kila upande utakuwa umemkuna mwenzie.
 
Habari zenu huwa mnaokota wapi hakuna chochote kitakachofanyika wafuasi wa bwana tobo mnahangaika sana hadi ifike oktoba wengi mtakua matahila
 
TUWAPE NAFASI YANGA KULIHESHIMISHA TAIFA

Kwenye mitandao yanaripotiwa mengi yaliyo ya kweli na yasiyo na kweli. Hata wachonganishi waliobobea wamo mitandaoni. Tunaendelea kujifunza kuikubali hali hiyo. Hata hiyo picha hapo chini si rahisi kubaini kama ni ya kweli ama hapana. Tunalazimika kujifunza kutokuwa na pupa ya kufanya maamuzi. Nyumba yetu imejaa moshi kwa hiyo hatuoni wala hatuonani vizuri.

Kwa hiyo basi, kwa manufaa mapana ya taifa na soka la TZ tuone kwamba klabu ya Yanga na wanachama wake hawakushiriki kuchangia CCM. Tuwape nafasi timu ya Yanga ambayo kwa sasa ni miongoni mwa timu kubwa barani Afrika ili wawakilishe na kuheshimisha taifa letu. Kwenye mkutano wa wanachama ujao waagize ukaguzi wa fedha ili kubaini ukweli na hatua stahiki zichukuliwe dhidi ya wahusika kama kuna lolote baya.

Wanachama wa Yanga msiikimbie timu yenu. Makosa ya uongozi yasipanuliwe kuyafanya ni ya klabu. @Ninyi washabiki ndio Yanga na ipeni timu yenu sapoti kubwa zaidi. Na hata jezi mpya zinunueni kabisa na kuchangia kama kawaida yenu. Nijuavyo mimi Yanga haijawahi kushindwa kutatua matatizo yake ya ndani pasipo kuathiri nguvu ya klabu. Mliokasirishwa na habari za Yanga kuchangia CCM wekeni silaha chini na kurejea kambini kisha kaeni pamoja ili kujua ukweli na kufanya maamuzi kama taasisi.
FB_IMG_1755224661273.jpg
 
Wakuu!

Kabla hili la Yanga SC halijapoa, tuzungumze kidogo kuhusu kilichotokea.

Labda wengi hawakutarajia kwamba klabu maarufu ya Yanga (Wananchi) ingejikuta katikati ya mjadala mkubwa wa Kitaifa hivi karibuni. Yanga imejikuta ikijadiliwa sana na kukosolewa vikali baada ya kuchangia kiasi cha Tsh. 100 milioni katika harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), iliyolenga kukusanya Tsh. bilioni 100 kwa ajili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Mchango huo, ulitolewa na Rais wa timu hiyo, Eng. Hersi Said.

Sasa wenye mpira wao FIFA wanasemaje kupitia Kanuni?

FIFA, kama Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu, lina kanuni za wazi kabisa zinazozuia vilabu vyake wanachama kuchangia vyama vya siasa. Sheria na kanuni za FIFA zinaeleza bila shaka kwamba vyama wanachama lazima vizingatie maagizo ya shirikisho, ikiwa ni pamoja na kanuni ya kutoegemea upande wowote kisiasa na kutojitenga na vyombo vya nje.

Kwa mfano, Kanuni za FIFA, Kifungu cha 4, kinakataza ubaguzi wa kisiasa na ushawishi wa kisiasa katika soka. Kifungu hiki kinahakikisha kwamba vilabu vya mpira vinapaswa kubaki na uhuru wa utendaji kazi, bila kujihusisha na siasa au kushawishiwa kisiasa.

Aidha, Kanuni za FIFA, Vifungu vya 14 na 19, vinavyohusiana na usimamizi wa vilabu na mashirikisho ya soka, vinataka vyombo hivi viwe huru na bila ushawishi wa kisiasa. Hii inamaanisha kuwa vilabu vya mpira vinapaswa kufanya shughuli zao za kimaendeleo kwa manufaa ya mchezo, na siyo kwa maslahi ya kisiasa au vyama vya siasa.

Kwa hivyo, mchango wa Yanga SC kwa CCM, ingawa ni suala la kisiasa, unaweza kuwa na athari kwa kanuni hizi, kwani inakiuka dhana ya uhuru wa vilabu wa kutoshawishika kisiasa.
We una cheo gani huko FIFA? acha kiherehere we bwege
 
Wakuu!

Kabla hili la Yanga SC halijapoa, tuzungumze kidogo kuhusu kilichotokea.

Labda wengi hawakutarajia kwamba klabu maarufu ya Yanga (Wananchi) ingejikuta katikati ya mjadala mkubwa wa Kitaifa hivi karibuni. Yanga imejikuta ikijadiliwa sana na kukosolewa vikali baada ya kuchangia kiasi cha Tsh. 100 milioni katika harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), iliyolenga kukusanya Tsh. bilioni 100 kwa ajili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Mchango huo, ulitolewa na Rais wa timu hiyo, Eng. Hersi Said.

Sasa wenye mpira wao FIFA wanasemaje kupitia Kanuni?

FIFA, kama Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu, lina kanuni za wazi kabisa zinazozuia vilabu vyake wanachama kuchangia vyama vya siasa. Sheria na kanuni za FIFA zinaeleza bila shaka kwamba vyama wanachama lazima vizingatie maagizo ya shirikisho, ikiwa ni pamoja na kanuni ya kutoegemea upande wowote kisiasa na kutojitenga na vyombo vya nje.

Kwa mfano, Kanuni za FIFA, Kifungu cha 4, kinakataza ubaguzi wa kisiasa na ushawishi wa kisiasa katika soka. Kifungu hiki kinahakikisha kwamba vilabu vya mpira vinapaswa kubaki na uhuru wa utendaji kazi, bila kujihusisha na siasa au kushawishiwa kisiasa.

Aidha, Kanuni za FIFA, Vifungu vya 14 na 19, vinavyohusiana na usimamizi wa vilabu na mashirikisho ya soka, vinataka vyombo hivi viwe huru na bila ushawishi wa kisiasa. Hii inamaanisha kuwa vilabu vya mpira vinapaswa kufanya shughuli zao za kimaendeleo kwa manufaa ya mchezo, na siyo kwa maslahi ya kisiasa au vyama vya siasa.

Kwa hivyo, mchango wa Yanga SC kwa CCM, ingawa ni suala la kisiasa, unaweza kuwa na athari kwa kanuni hizi, kwani inakiuka dhana ya uhuru wa vilabu wa kutoshawishika kisiasa.

### 1. Kisheria na Kikanuni
  • Kanuni za Vilabu vya Michezo: Vilabu vya mpira wa miguu nchini Tanzania, ikiwemo Yanga, vimesajiliwa chini ya Bodi ya Michezo Tanzania na vina katiba zao. Hakuna kanuni inayokataza klabu kuchangia au kushiriki shughuli za kijamii au kisiasa, mradi tu hayo hayakiuki katiba ya klabu au sheria za nchi.
  • Maamuzi ya Klabu: Uamuzi wa kuchangia harambee ya CCM, au chama kingine chochote, hutegemea maamuzi ya viongozi wa klabu na bodi zao. Ikiwa uamuzi huo umepitishwa kwa mujibu wa taratibu za klabu, basi hakuna tatizo kisheria.
  • Vyanzo vya Mapato: Klabu hizi hutumia fedha zao, ambazo zinatoka kwa wafadhili, wadhamini, michango ya wanachama, na mapato ya michezo. Ni uamuzi wa viongozi na wanachama wa klabu kuamua jinsi fedha hizo zinavyotumika.

### 2. Kimaadili na Kitaaluma
  • Utofauti wa Kisiasa: Klabu za michezo kama Yanga zina mashabiki kutoka vyama mbalimbali vya siasa. Uamuzi wa kuchangia chama fulani unaweza kusababisha mashabiki wengine kuhisi kwamba klabu yao inabagua au inafungamana na upande mmoja wa siasa. Hii inaweza kuathiri uungwaji mkono wa mashabiki na wanachama.
  • Kazi ya Klabu: Jukumu kuu la klabu ni maendeleo ya michezo. Rasilimali zao mara nyingi zimepangwa kutumika katika uendeshaji wa klabu, mishahara ya wachezaji na makocha, na maendeleo ya miundombinu. Kuelekeza rasilimali hizo kwenye siasa kunaweza kuonekana kama kupoteza malengo ya msingi ya klabu.
  • Kudumisha Sura ya Klabu: Klabu za michezo mara nyingi hujitahidi kujenga sura ya kuunganisha watu. Uamuzi wa kuchangia chama cha siasa unaweza kuonekana kama hatua ya kuifanya klabu kuwa taasisi ya kisiasa, na hii inaweza kuzuia wafadhili na wadhamini ambao hawapendi kujihusisha na siasa.

---

Kwa kumalizia, ingawa kisheria inaweza kuwa sahihi kwa klabu kuchangia harambee ya chama cha siasa, kimaadili na kitaaluma, inaweza kuwa na athari hasi kwa umoja wa mashabiki wake na malengo ya klabu kwa ujumla. Uamuzi kama huo unahitaji kufikiriwa kwa makini sana.
 
Hama Timu
Hamia Burundi


kauli Tata Za Hao Jamaa
 
Wakuu!

Kabla hili la Yanga SC halijapoa, tuzungumze kidogo kuhusu kilichotokea.

Labda wengi hawakutarajia kwamba klabu maarufu ya Yanga (Wananchi) ingejikuta katikati ya mjadala mkubwa wa Kitaifa hivi karibuni. Yanga imejikuta ikijadiliwa sana na kukosolewa vikali baada ya kuchangia kiasi cha Tsh. 100 milioni katika harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), iliyolenga kukusanya Tsh. bilioni 100 kwa ajili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Mchango huo, ulitolewa na Rais wa timu hiyo, Eng. Hersi Said.

Sasa wenye mpira wao FIFA wanasemaje kupitia Kanuni?

FIFA, kama Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu, lina kanuni za wazi kabisa zinazozuia vilabu vyake wanachama kuchangia vyama vya siasa. Sheria na kanuni za FIFA zinaeleza bila shaka kwamba vyama wanachama lazima vizingatie maagizo ya shirikisho, ikiwa ni pamoja na kanuni ya kutoegemea upande wowote kisiasa na kutojitenga na vyombo vya nje.

Kwa mfano, Kanuni za FIFA, Kifungu cha 4, kinakataza ubaguzi wa kisiasa na ushawishi wa kisiasa katika soka. Kifungu hiki kinahakikisha kwamba vilabu vya mpira vinapaswa kubaki na uhuru wa utendaji kazi, bila kujihusisha na siasa au kushawishiwa kisiasa.

Aidha, Kanuni za FIFA, Vifungu vya 14 na 19, vinavyohusiana na usimamizi wa vilabu na mashirikisho ya soka, vinataka vyombo hivi viwe huru na bila ushawishi wa kisiasa. Hii inamaanisha kuwa vilabu vya mpira vinapaswa kufanya shughuli zao za kimaendeleo kwa manufaa ya mchezo, na siyo kwa maslahi ya kisiasa au vyama vya siasa.

Kwa hivyo, mchango wa Yanga SC kwa CCM, ingawa ni suala la kisiasa, unaweza kuwa na athari kwa kanuni hizi, kwani inakiuka dhana ya uhuru wa vilabu wa kutoshawishika kisiasa.
ifutwe, ifutike

ikaendelee na siasa
 
Kuna klabu fulani ya nchi X iliwahi kuahidiwa ubingwa na kiongozi mkubwa wa serikali ya nchi yao hadharani kwenye bonanza la hiyo klabu. Yakatokea mengi kwenye msimu wa ligi yao, lakini mwisho wa siku maelekezo ya kiongozi yalitimizwa.

FIFA wakatuma wachunguzi wakajiridhisha kwamba alitamka maneno yale huenda ni kwa mihemko au vinginevyo wacha wajipe muda maana kama wamezoea vya kunyongwa watarudi tu kwenye 18 zao.

Kweli bhana muda ni msema kweli sasa yametimia ilele timu imejihusisha moja kwa moja kwenye masuala ya kisiasa tena alafu mbaya zaidi wameomba na radhi kwamba wamekili kufanya kosa hilo ama kwa kujua au kutokujua lakini hukumu ipo palepale.
 
Na hata jezi mpya zinunueni kabisa na kuchangia kama kawaida yenu.
Binafsi kama sehemu ya kupeleka ujumbe msimu huu sitanunua jezi wala kwenda uwanjani kwenye mechi yoyote mpaka pale aidha kiongozi mmoja kama sio wote atakapo jitokeza kuomba radhi.

Hatuwezi kujifunza kuzoea upumbavu.
 
Back
Top Bottom