Kwanza kabisa nawapa pole wale wote wanaopigania haki,mimi najiuliza huyu mtu anayejiita ni Rais wetu haoni yote haya?kwanini anakuwa akifungia macho mambo makubwa hivi,tafsiri ni nini!!je yeye ndio anatoa order?au hana la kusema?my wory ni kuwa i dont even know if he cares kuona watu wanakufa kwa kupigania haki...
Je tutafika kweli??
Mkwere...just know u'll one day be responsible for these lost souls...
Je tutafika kweli??
Mkwere...just know u'll one day be responsible for these lost souls...