Yanayotokea Arusha Rais una la kusema?

<font color="darkred"><br />
Mnapigania haki gani kwanini msisubiri uchaguzi mwingine mkajaribu bahati kama wananchi watawakubali? Watanzani tutaleta mabadiliko kwa ballot paper sio kwa jazba<br />
<br />
Huyu mchungaji atakuwa sawa na Mchungaji mwenzake Mtikila hawana sera wanatumia wafuasi wa kanisani kwa kutetea ualji, watz hatutodanganyika na sheria ifuate mkanda dhidi ya hawa wachungaji Traitors<br />
<br />
Tunvyama vingi tanzania na hakuna atae fanya upuuzi kama huyu mchungaji, inabidi adhibitiwe vinginevyo atatuletea matatizo watanzania.</font>
<br />
<br />
Mzee, inaonekana wewe ni sehemu ya viziwi wa mawazo. Mara zote haki hupatikana kwa ncha ya mkuki. Usiwe na mawazo mgando mzee!
 
Back
Top Bottom