Yanayojiri bungeni Dodoma leo 08 Julai 2015

Yanayojiri bungeni Dodoma leo 08 Julai 2015

kuna msemo fulan wakurya wanatumia kwamba usipo wazaa watu kama hawa basi wataolewa kwako au kwenu kwa hiyo basi yule mdada aliolewa!!!!!
 
Yani leo hii ndio mnamlilia Mwalimu. Mmemgaragaza , mmemfukarisha, mmemnyanyapaa miaka 10 yote ya awamu hii.

Kwa vile mnaenda uchaguzi ndo mnampenda kinafiki leo.

Shime kwa walimu TANZANIA nzima.

Msikubali kutumiwa tena na magamba makuu haya. Unaa mkubwa .
 
Yani leo hii ndio mnamlilia Mwalimu. Mmemgaragaza , mmemfukarisha, mmemnyanyapaa miaka 10 yote ya awamu hii.

Kwa vile mnaenda uchaguzi ndo mnampenda kinafiki leo.

Shime kwa walimu TANZANIA nzima.
Msikubali kutumiwa tena na magamba makuu haya. Unaa mkubwa .
umejitambua......
 
kashindwa kuishi na mume mmoja ndio ataweza kuishi na jumuiya ya watu makini..amefuata akina mama wenzake Martha Mlata Mhagama na wengineo wengi
 
Yani leo hii ndio mnamlilia Mwalimu. Mmemgaragaza , mmemfukarisha, mmemnyanyapaa miaka 10 yote ya awamu hii.

Kwa vile mnaenda uchaguzi ndo mnampenda kinafiki leo.

Shime kwa walimu TANZANIA nzima.
Msikubali kutumiwa tena na magamba makuu haya. Unaa mkubwa .

Nawasiwasi kama chadema itaweka kipaumbele kwa walimu sababu naambiwa Mbowe alikimbia umande (unconfirmed news)
 
Wanawajua Waalimu ni Washida na Jua Kari ndio Maana Wanawachezea Usanii Huu eti wa Tume. Hizi zote ni siasa za Kisanii zenye Kulenga Kura toka Waalimu.

Waalimu Changanyini Akiri zenu Maana CCM Ni Zimwi Liogopeni
 
Mbali na makampuni ya simu, kwani serikali ikiamua kukata 20% tu ya matumizi ya magari (V8's) si itaokoa mara hamsini zaidi ya hizi!? (Kumbuka kuna ripoti ilisema magari tu yanatumia trillion 5). Alafu anavyoongea utadhani yeye sio mfanyakazi wa serikali na hiyo kodi haimhusu!
Ni bora kuwa na mawaziri kwa profile zao kama rasimu ya Warioba inavyotaka badala ya hizi nafasi kutumiwa kuzawadiwa na kuponya magomvi ya familia.

Hapo kwenye bold mi nimekuelewa sana, kiukweli umenikumbusha mbali sana kuhusu sakata la yule profesa MDINI.
 
Kikao cha cccm ndani ya jengo la bunge na kesho mwenyekiti wa ccm taifa atahutubia
 
Hivi Watanzania hatujamwelewa tu Rais wetu JK,Huyu mweshimiwa huwa hana aibu kabisa anaweza kuhutubia hata kukiwa na wabunge kumi tu na bado atatabasamu kama vile hakuna cha chochote cha ajabu.
 
Hii ni moja ya changamoto kubwa kama sisi watanzania tukitekeleza tutafanikiwa na kupiga hatua mbele.

Aliolewa na Madaraka Nyerere lkn walitengana kipindi sana!Juhudi za familia ya Nyerere kumuomba asitumie jina lao hazijafanikiwa!
 
huyo mdada hajielewi, atapigwa mchana kweupe na magamba.
 
Kwani hao uliowataja ni wapinzani Ritz?
Umewahi kuwaona CCM wakiwapiga virungu hao uliowataja kama wale waliotoka?
Kuna mpinzani Tanzania kapigwa virungu na polisi kama Mrema.
 
Last edited by a moderator:
Nimeshangaa kumuona Mh. Leticia Nyerere Mbunge huyu wa Viti Maalumu wa CHADEMA,

Kulikoni wakuu? Kwani amejitoa CHADEMA tayali? na tena kauliza swali la nyongeza. Mwenyekiti wa UKAWA alitangazia Umma kwamba UKAWA watalisusia bunge. Sielewielewi.
njaa mbaya sana
 
Enzi nipo mtumwa,kwa mwaka nilikuwa nakatwa kodi kati ya 4.2m mpaka 5.0m wakati mkinga wa k/koo mwenye ghorofa tano analipa laki 7 kwa mwaka...mie nakatwa fedha kabla hata sijanunua sabuni wakati mkinga anakatwa ile faida baada ya kutoa kila kitu..serikali iangalie hilo.
Mkuu yote hiyo yalikuwa makato?ni Kwa Mwaka au mwezi?
 
Wengi wa watu tunaowapa uongozi nchi hii ni malaya sana sijui tuna laana gani..Makongoro ana mitoto ya nje kama 23 hivi..kumbe hata huyu Letitia alikuwa mkewe

Alikuwa mke wa Madaraka na sio Makongoro...

Madaraka ni mdogo wake Makongoro...
 
Back
Top Bottom