Yanayojiri bungeni Dodoma leo 08 Julai 2015

Yanayojiri bungeni Dodoma leo 08 Julai 2015

Walifunge tu bila ukawa manake siku zote wamekua wakijiona wao ndio wenye hati miliki na nchi hii.. UKAWA endeleeni na mipango yenu
 
Sasa wanaogopa nini?Wangemshauri Bi Mkora kuifuta ile adhabu yake immediately baada ya kuitoa.Sasa wamepitisha madudu ndiyo wanawakumbuka?
Pamoja na matusi yote waliyowatukana wapinzani wakirudi hao wapinzani nitawaona wapumbavu kabisa.
Tatizo hapa binadamu hatulingani na hiyo ni jinsi Mungu alivyotuumba.
Wazungu na wengine uwezo wao wa kufikiri hatutofautiani lakini wanajitahidi kuangalia mbele walau miaka 50 - 100.
Wenzetu Kenya na Rwanda tunaishi kwenye matatizo yanayofanana lakini wanaangalia miaka 20 - 60.
Tanzania pia baadhi tunajitahidi kuangalia kati ya miaka 30 - 70 mbele, lakini hawa ccm wanatuharibia maana wao wanaangalia siku 2 mpaka miaka 5 tu ya uchaguzi unaofuatia.
Sasa angalia hili suala pamoja na wingi wao hawakujua kitakachofuatia baada ya juma moja, ni ajabu!!!



 
Habari! naangalia Bunge sasa nimekuwa suprize kumuona Mh. Mbunge huyu wa CHADEMA

Kulikoni wakuu? Kwani amejitoa CHADEMA tayali? na tena kauliza swali la nyongeza.

Alikuwa mbunge wa cdm
 
Majembe hayawezi kulamba matapishi, hiyo ni aibu yao

Hapa ndipo ile METHALI...........'Baniani Mbaya kiatu chake Dawa'Poleni wabunge wa upinzani............Msirudi Bungeni aslani.............
 
Leticia, shibuda, arfi na hamad rashid hao walishajipambanua kua makuwadi wa ccm.. Sio ukawa hao wanamalizja posho zao za mwisho mwisho na kuaga bunge
 
Hivi ni vitu vinavyshangaza sana,

Mtu umebebwa tu kwa kupewa Ubunge, hapo hapo unajifanya nunda kwa kuwatunishia waliokupa nafasi hiyo. Unachuma mamilioni kwa nafasi ambayo bila chama unachokitunishia leo usingepata hata kidogo..!! Hizi dharau hata ccm mwenyewe hawana.

Kina Leticia, tukutane October.

BACK TANGANYIKA
 
Kuna wabunge kadhaa wanataraj kujivua uanachama wa ccm

Sty tuned..

Aibu nyingine.n.raisi kufunga bunge bila upinzani..hahaaaaa
Wapinzani gani unataka wakati yupo Leticia Nyerere Chadema, John Shibuda Chadema, Mrema TLP, John Cheyo UDP.
 
Wapinzani gani unataka wakati yupo Leticia Nyerere Chadema, John Shibuda Chadema, Mrema TLP, John Cheyo UDP.


Kwani hao uliowataja ni wapinzani Ritz?
Umewahi kuwaona CCM wakiwapiga virungu hao uliowataja kama wale waliotoka?
 
Last edited by a moderator:
Ex-wife wa Madaraka Nyerere...

Madaraka Nyerere ni kijana/mtoto wa Kambarage

Wengi wa watu tunaowapa uongozi nchi hii ni malaya sana sijui tuna laana gani..Makongoro ana mitoto ya nje kama 23 hivi..kumbe hata huyu Letitia alikuwa mkewe
 
Muulize Mchungaji Getrude Lwakatare kuhusu faida ya kutumia majina ya ma ex-husband.
 
Tatizo hapa binadamu hatulingani na hiyo ni jinsi Mungu alivyotuumba.
Wazungu na wengine uwezo wao wa kufikiri hatutofautiani lakini wanajitahidi kuangalia mbele walau miaka 50 - 100.
Wenzetu Kenya na Rwanda tunaishi kwenye matatizo yanayofanana lakini wanaangalia miaka 20 - 60.
Tanzania pia baadhi tunajitahidi kuangalia kati ya miaka 30 - 70 mbele, lakini hawa ccm wanatuharibia maana wao wanaangalia siku 2 mpaka miaka 5 tu ya uchaguzi unaofuatia.
Sasa angalia hili suala pamoja na wingi wao hawakujua kitakachofuatia baada ya juma moja, ni ajabu!!!




Upofu walionao hawa ndugu zetu wakidhani wanahati miliki ya kutawala.Na wamekuja kushtuka jua limeshazama.Wameona reaction ya wananchi wa kawaida kwamba siyo wale wanaowategemea kuwa wakikohoa Bungeni basi huku tutawakimbilia kuwauliza kuna nini huko?

Ile reaction ya 82% ya wakazi wa DAR kusupport wapinzani imewastua labda.Ngoja tusubiri
 
Mkitaka kumjua Letty ki undani, ulizeni watu wanaotoka mji wa Ngudu, wilayani Kwimba. Anatoka familia ya Mageni Msobi ya Ngudu. Ni pasua kichwa hatari, hawezi kudumu mahali popote na si chama pekee hata familia ni hatarii. Hatambui CHADEMA na hakubaliani nao hata siku moja. Yeye alipata daraja la kuingia bungeni na hana watu anao wakilisha sababu anaishi Marekani. Ni mama mtata balaa.
 
Back
Top Bottom