Yanayojiri bungeni Dodoma leo 08 Julai 2015

Yanayojiri bungeni Dodoma leo 08 Julai 2015

Kama waliachana Kwa nini atumie hill jina, yeye hana wazazi?
yeye ni muumini wa kweli, wa kuwa kilichounganishwa na mungu hakuna wa kukitenganisha, labda kifo. BASI, kwa hiyo yupo sahihi kabisa kutumia jina hilo.
 
Hivi huyu Leticia Nyerere uwa wana undugu na Yericko Nyerere kuna sehemu nilisoma Yericko akimuita shangazi.

Nakala; FaizaFoxy.

Hahahaha , Yericko Nyerere ni tapeli, ujuwe kwa maandiko hayo wengi humu wanadhani kuwa yeye ni kwenye familia ya Nyerere kumbe ni muongo tu.

Shangazi yake kwa nani? Huyo Leticia mwenyewe hilo jina la kujipachika tu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom