Nadhani Chadema wanabidi wasiwe wanafanya tena chochote kwa kuamini Jeshi letu la Polisi. Wanabidi waajiri waandishi wa habari waiobobea kwenye fani ya upelelezi pia. Vitumike vifaa madhubuti vya kunasa sauti na picha na kuvisafirisha mara tu vinaponasa. Nahisi mpango wa kumwaga fisi na simba wengi huko mabwepande! Ili wasaidie kazi. Mambo haya yanajiweka wazi kila kukicha!
Mungu ibariki Tanzania na wale wote wenye nia nzuri na Taifa letu!
Nakuunga mkono Mkuu! Hili litasaidia hata pale Mahakama zinapoibeba serikali,hatimaye haki iweze kupatikana hata kama na baada ya muda mrefu kiasi gani!