Yanayoendelea nchini: Nape atupa madongo

Yanayoendelea nchini: Nape atupa madongo

~~~>>>>Ili uweze kufanya kazi na Magu lazima ukubali akushikie akili zako.....

Hongera Nape kwa kujitoa ktk utumwa wa Kifikra..... Japo watanzania hatutakusahau ulivyochangia kufungia bunge Live..
 
Mmoja kati ya watu wajinga ni huyu dogo. Alidhani ujinga is all about paramount. Well, it's when the man launched the so called goli la mkono. Fine bana mdogo, lakini kumbuka ujinga na upumbavu wa hivyo ni an interim certificate. Finally na nadhani; leo ukiulizwa you have more attention regards to your country. All the best bana Nape.
 
Mmoja kati ya watu wajinga ni huyu dogo. Alidhani ujinga is all about paramount. Well, it's when the man launch the so called goli la mkono. Fine bana mdogo, lakini kumbuka ujinga na upumbavu wa hivyo ni an interim certificate. Finally na nadhani; leo ukiulizwa you have more attention regards to your country. All the best bana Nape.
 
Muache kwanza akitaka kufa tutamtoa huko yy si alisema atapiga bao la mkono akati ana Mke hakuja mke wake analihitaji hilo bao amzali mtoto .Sasa ngoja kwanza akivuta pumzi ya mwisho ndio aokolewe kabla ajabu kidogo adabu itamkaa kama mwenzake naniii
 
Usiwatendee wengine usilopenda kutendewa! nape aache hizo taarabu zake mitandaoni, atulie tulii dawa imuingie kisawa sawa, malipo ni hapa hapa!
 
Nape alishawahi sema Lowassa in maiti haiwezi kuingia ikulu. Leo Lowassa amekuwa shujaa wa Nape..???
Wanasiasa hawatatuletea maendeleo zaidi ya chuki tuu. Maendeleo huletwa na wewe mwenyewe
3dbd9f84d66b6e6f84dd0bfe82f7d135.jpg
 
Alipokuwa nae ccm alikuwa mwiba mchungu lakini kwa kuwa nape ni mtaalamu wa kubadili midundo ameamua kuwabadilishia midundo misekuro mpaka inamkubali!
 
Nape awe mpole yupo ktk list ya wanaotafutwa kuuliwa na magmashi na Bashite
 
Nimempokea Yesu Kristo Kuanzia Leo, awe Bwana na Mwokozi wa Maisha Yangu!!

Naamini mtaelewa nilichoandika bila kizuizi.
 
Back
Top Bottom