Yanayoendelea nchini: Nape atupa madongo

Yanayoendelea nchini: Nape atupa madongo

Nape ni kiboko anafunga goli la mkono na kushauri watu ni goli na wakakubali, waombe watu msamaha kwa goli la mkono kwani uliwapumbaza
 
Huyu Nape kachooka sana amepoteza mvuto, na 2020 ubunge hana huyu lazima arudi mtaani chezea ngosha wewe.
 
Nape alishawahi sema Lowassa in maiti haiwezi kuingia ikulu. Leo Lowassa amekuwa shujaa wa Nape..???
Wanasiasa hawatatuletea maendeleo zaidi ya chuki tuu. Maendeleo huletwa na wewe mwenyewe
unajua ukisha kuwa chronic ya majukwaa na baadae ukayakosa huachi kuweweseka..kwa hiyo hii ya nape ni arrosto ya kukosa majukwaa ya kuhutubia
 
huyu sindo amesababisha yote haya na damu za wasio na hatia zitakuwa juu yake kwa bao la mkono
 
Katika Siasa watu hufa na kufufuka mara nyingi.
Katika uhai watu hufa mara moja tu.
Mwanasiasa hana rafiki wa kudumu na pia hana adui wa kudumu.
Wakigombana chukua jembe ukalime, wakipatana chukua kapu ukavune.
 
Nape na bao LA mkono, Nape '' Lowasa mgonjwa hafai Ikulu, Nape '' Lowasa huwezi kkwenda Ikulu kwa kununua wanaCCM, Nape '' Lowasa mgonjwa, Nape '' Lowasa Fisadi Nape you are no longer politician you are finished , Ila nikukumbushe tu sikio halizidi kichwa
 
Kujitukana mwenyewe si kitu kigeni.

Nazan mwenyekiti anaongoza kwa hili
 
Nape na bao LA mkono, Nape '' Lowasa mgonjwa hafai Ikulu, Nape '' Lowasa huwezi kkwenda Ikulu kwa kununua wanaCCM, Nape '' Lowasa mgonjwa, Nape '' Lowasa Fisadi Nape you are no longer politician you are finished , Ila nikukumbushe tu sikio halizidi kichwa
 
Hicho kiingereza arekebishe! Likes things ndo madudu gani?

Kila la kheri Nape, kikubwa critics ziwe za manufaa!
 
Nape alishawahi sema Lowassa in maiti haiwezi kuingia ikulu. Leo Lowassa amekuwa shujaa wa Nape..???
Wanasiasa hawatatuletea maendeleo zaidi ya chuki tuu. Maendeleo huletwa na wewe mwenyewe
Kwani ni kweli anaweza kuingia Ikulu?
 
Kwa bahati mbaya sana Nape hakuyaona hayo alipokua katika meza ya karamu ya bwana. Alizurura nchi nzima akimtukana Lowasa leo limegeukia kwake anajifanya mpenda maendeleo. Hatari sana unafiki hautamuacha mtu
Mkuu katika dini ya kikristo mtenda dhambi hata atende dhambi nyekundu kama damu, kama ata uona ukweli na kutubu dhambi zake zitasafishwa na kuwa nyeupe kama theluji. Jee kuna ubaya gani katika siasa ambayo mambo hayo ni madogo kwa mtu kuujua ukweli na kuunena? Kwani nini itikadi za kisiasa tuzifanye kama dhambi isiyo sameheka?
Mbona kina Mpendazoe mnao huko ccm na walisema mengi kuhusu ccm kwa vipindi tofauti? Mwacheni Nape ambaye ni BORN AGAIN POLITICIAN atiririke ajisikiavyo sasa. Siasa sio kabisa kuwa halibadiliki, maana huwezi kuzaliwa Mmakonde eti ukabadili kabisa kuwa mkwere! Au Mchaga.
 
Nape na bao LA mkono, Nape '' Lowasa mgonjwa hafai Ikulu, Nape '' Lowasa huwezi kkwenda Ikulu kwa kununua wanaCCM, Nape '' Lowasa mgonjwa, Nape '' Lowasa Fisadi Nape you are no longer politician you are finished , Ila nikukumbushe tu sikio halizidi kichwa
Hata Sauli kwa wale wakristo wa awali aliokuwa akiwapiga na kuwauwa hawakuamini pale Kristo alipombadili Sauli na kuwa Mtume Paulo.
Mtume Paulo ndio akaja kuwa mtume aliyefanya kazi ya kueneza injili kuliko wengine wote mpaka watu wa wakati huo wakashangaa muujiza huo. Sasa Nape (Sauli) anaweza kuja kuwa Nape (Paulo) wa kizazi hiki.
 
Kwa magumu anayopitia hivi sasa Nape Nnauye wala asionewe huruma kwani yeye ni mmojawapo wa watu walioitengeneza hali tuliyonayo hivi sasa! Lakini kwa yanayompata anastahili kusamehewa kwani imekuwa kama kwenye kile kisa cha mchimba kisima!
 
Back
Top Bottom