Easyway
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 2,606
- 3,712
Ulitaka panga girl?Panga boi..?
Afadhali zije zisaidie kubeba makamanda wa Chadema kwenda mikoani kuandamana.
Ulitaka panga girl?Panga boi..?
Mimi hofu yangu ni muda wa safari kuwa mrefu hivyo kushindwa kushindana na Fastest katika same root na hivyo kukosa faida na kushindwa kukua kibiashara. Sio mikoa yote ina idadi kubwa ya wananchi wanaweza kumudu kupanda ndege. Jamaa waumize kichwa na kufanya restructuring ya shirika sasa
Mkuu hii ndio itakayopiga ruti ya CHATO to DAR?Ulitaka panga girl?
Afadhali zije zisaidie kubeba makamanda wa Chadema kwenda mikoani kuandamana.
Kaburi hilo linakuja,nchi tajiri kama tz mmeshindwa kununua AIR BUS 320?
Nitaendelea kupanga Fastjet milele.Watanzania bure kabisa
Ndege ya ATCL angani ikipasua anga na mawingu kwa ajili ya Test Flight. Sasa ni tayari kwa safari ya kuja nyumbani.
Alama ya Twiga wetu inaenda kuruka na kutambaa katika milima na mabonde ya Tanzania. Tunarudi tena katika anga la Tanzania. Nia ya dhati iliyotumika kulifufua shirika hili, itumike pia kutuweka watanzania kama wamoja, kwa chuki na uhasama wa "kuminywa demokrasia", turudishwe na tuwe wamoja.
Tunaenda hatua kwa hatua,kwa ile kanuni yetu ya "JF be the first to know", welcome back home.
The Wings of the Kilimanjaro
View attachment 390071
Dah nasikia itakuwa kama mabasi ya mwendokasi...wiki nzima bureeeeee 🙂Ndege zenyewe watakuwa wanapanda wao wenyewe tu, sisi walalahoi tutaendelea na malori yetu
ni mapema sana kusema ila naona huko mbele tuendako nawaonea sana huruma Twiga wetu. wakati AIRTZ imestaq twiga wetu walipanda ndege za Mzungu kwa kulipwa nauli na waheshimiwa sana kwenda ughabuni, sasa kuna AIRTZ si ndio watasafirishwa bila nauli. masikini mama Tanzania😕😕😕😕😕Ndege ya ATCL angani ikipasua anga na mawingu kwa ajili ya Test Flight. Sasa ni tayari kwa safari ya kuja nyumbani.
Alama ya Twiga wetu inaenda kuruka na kutambaa katika milima na mabonde ya Tanzania. Tunarudi tena katika anga la Tanzania. Nia ya dhati iliyotumika kulifufua shirika hili, itumike pia kutuweka watanzania kama wamoja, kwa chuki na uhasama wa "kuminywa demokrasia", turudishwe na tuwe wamoja.
Tunaenda hatua kwa hatua,kwa ile kanuni yetu ya "JF be the first to know", welcome back home.
The Wings of the Kilimanjaro
View attachment 390071
muombe sana, ila sizipite anga la selous g.reservd. isije ikawa Filikunjombe (RIP)nauli wafanye laki moja bas dar mwanza
BAELEZEE! BANAANDAMANA KUBARABARA ETI NADAI HAKI SISI KONGOMEN NABASHANGAA!!Kinachonunua in mipango yake thabiti sio kama ya mwenyekiti wa chama Fulani hats ofisi anashindwa kujenga
Wewe Kama unaona kuboresha vyoo sio muhimu basi hufikirii sawasawa. Kuweka madawati ni sawa lakini kuweka madawati tu na kuacha kuboresha vyoo sio sawa. Choo ni hitaji muhimu katika maisha hivyo wanaolalamika kuhusu hili wako sawa kabisa.Zingenunuliwa hizo CT ungeanza kukosoa vile vile. Watu wamejitahidi kujenga madawati tayari wengine wameanza kukosoa, eti oh kwa nini tusingeanza kwa kuboresha vyoo n.k.