mafwitanda
Member
- Jul 10, 2016
- 58
- 29
Congrats magufuli
Tangulia mahakamani, nitaleta ushaiditupe ushahidi
njoo nimefika nipo na Kibatala na LisuuTangulia mahakamani, nitaleta ushaidi
Unataka matatizo yote yatatuliwe kwa mkupuo?Wewe Kama unaona kuboresha vyoo sio muhimu basi hufikirii sawasawa. Kuweka madawati ni sawa lakini kuweka madawati tu na kuacha kuboresha vyoo sio sawa. Choo ni hitaji muhimu katika maisha hivyo wanaolalamika kuhusu hili wako sawa kabisa.
Umechagua na umeridhika kupanda Roli siku ukiamua kupambana ufanikiwe uanze kupanda midege kwa safari za kibiashara utaipanda tu.Ndege zenyewe watakuwa wanapanda wao wenyewe tu, sisi walalahoi tutaendelea na malori yetu
Unaupenda umaskini na usipoangalia utakukumbatia hadi kifo chako. UkataeMatajiri ndio waungane wawe wamoja...Usafiri wa ndege ni kwa ajili ya matajiri tu Masikini yao ni mabasi na malori
Usipende kubeza beza utachelewa zaidi. Safari inaanza kwa hatua moja.
Kandege ketu hata hakafungi matairi kakiwa angani.....
Ukikiangalia kwa mbali utadhani Bajaj...
Usimlaumu mtu kwa maisha yako hayo yalivyo Ndivyo ulivyotaka yawe, maana kwa usemavyo hata raisi akiwa nani utakuwa hivyo hivyo.Nyie ndo wakushangilia mkuu! Sisi huku ambao ni asilimia zaidi kidogo ya 90 na ambao ndiyo wazalendo wa ukweli na ambao ndiyo wadau halisi wa "Hapa kazi tu" Bado tunasubiria shehena ya magwangala na Vichwa na miguu ya kuku na Sisi tusherehekee!! Sisi tufurahie mdege kwa lipi? Tunaonaga tu likipita juu,hatutarajii hata kugusa bodi lake tukiwa hai!! Labda kwa muujiza au Ndotoni,hongereni.
Laana iwe kwako peke yako. Wengine tunabaraka.Tuna laana sisi haki ya nani..nchi ya watu 46m kandege kadg kuliko ka Floyd Mayweather, hivi ratio yake ikoje? Ili waTz wote tuonje siti iyo ni baadaya mda gani?
Kama umesoma thread yangu ya awali nilizungumzia priorities. Ndege kwanza au CT na dawa hosipitali ? Wewe ukijenga nyumba utahamia bila choo? Hiyo itakuwa priority kabla ya kuhamia. Hivyo shule Kama haina choo haijakamilika hata ukiweka madawati ya dhahabu.Unataka matatizo yote yatatuliwe kwa mkupuo?
hahaha! Babu wacha manenokaribu home kabajaj ketu ka taifa,wabongo wanaongea sana ujue watakuteta wakiwa humo humo umewabeba,usikasirike tu ukapitiliza kiwanja na kutua shambani km mwenzio yuleee wa zamani alivyofanya kigoma.