chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,367
- 27,772
- Thread starter
- #41
1. Usilazimishe mapenzi, kama kakutema kaa kimya.
2. Ukilazimisha atakuja na masharti makubwa sana.
3. Inawezekana uliperform vibaya sana kwenye test yake ya kukupa game.
Sijalazimisha mkuu
Kuhusu performance sina wasiwasi na hilo huenda kuna sababu nyingine.