Yamenikuta, msaada tafadhali

Yamenikuta, msaada tafadhali

Usifikiri kakosea au hajui anachokifanya. Its a TRICK. We mwambie tu SAWA. then kula bati
Ukikosea tu ukamuonesha hiko ''DESPERATION'' yako. UMEUMIA mzee.

Kama unabisha we mlambe miguu abadilishe msimamo wake uone hivyo vigezo na masharti utavyowekewa. The know how to hit where it hurts and timely for their advantage but at your disadvantage. Pls be a gentleman enough.

Hawajui wanawake ataendeshwa kama gari bovu hata kama amempenda inabidi acheze karata yake vizuri la sivyi itakula kwake na atajuta mwenyewe.....
 
Usifikiri kakosea au hajui anachokifanya. Its a TRICK. We mwambie tu SAWA. then kula bati
Ukikosea tu ukamuonesha hiko ''DESPERATION'' yako. UMEUMIA mzee.

Kama unabisha we mlambe miguu abadilishe msimamo wake uone hivyo vigezo na masharti utavyowekewa. The know how to hit where it hurts and timely for their advantage but at your disadvantage. Pls be a gentleman enough.

mkuu ushauri wako nimeupokea kwa mikono miwili nashukuru.
 
Ulitumia kinga au mlipima? Kama vipi check afya then endelea na maisha. Kuna wadada nao wapo mwenye kampeni ya kujaza Noah.

Kinga huwa naipa kipaumbele mkuu
 
ushawahi rudisha treni kwenye tope ukaiweka kwenye reli tena mkuu

huyo ukijaribu kupita sanane nane afrika sana waweza kuta mteja wako wa kila siku if ...wishes

Hapana mkuu

hawezi kuwa katika hayo mazingira maana hayupo mjini kwa sasa.
 
Hebu kapime kwanza huwez jua kama uko salama au umeachiwa vidudu halaf huyo atakuzingua mbele kishakuona.una.udhaifu kunako kuta nne
 
Hebu kapime kwanza huwez jua kama uko salama au umeachiwa vidudu halaf huyo atakuzingua mbele kishakuona.una.udhaifu kunako kuta nne

Kinga muhimu na kama kaniachia vidudu mpaka miezi mitatu


Udhaifu sijauona means aliishiwa nguvu katikati ya mchezo akilalamika tumbo linamuuma na alikuwa akisafiri kesho yake.

Anasema alikuwa katika siku zake.
 
Usifikiri kakosea au hajui anachokifanya. Its a TRICK. We mwambie tu SAWA. then kula bati
Ukikosea tu ukamuonesha hiko ''DESPERATION'' yako. UMEUMIA mzee.

Kama unabisha we mlambe miguu abadilishe msimamo wake uone hivyo vigezo na masharti utavyowekewa. The know how to hit where it hurts and timely for their advantage but at your disadvantage. Pls be a gentleman enough.

umejuajee tized....hapo anakupimia kajiengua mapemaa mana yawezekana nyuma huko katendwa mbaya
 
1. Usilazimishe mapenzi, kama kakutema kaa kimya.

2. Ukilazimisha atakuja na masharti makubwa sana.

3. Inawezekana uliperform vibaya sana kwenye test yake ya kukupa game.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom