Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

...Ngoja nikuulize,

Je, aliona sms au alikukamata red handed?....
Binti alifanya mistake siku moja akatuma sms usiku wa manane nimelala kwamba amepigwa sana na baba yake kwa kosa la kumtetea mdogo wake alipiwe ada. Na ameumizwa sana hivyo akamalizia na neno sweetie.

Hapo wife akili zikakaa attention na akaanza kuwasiliana naye kwa text kwa kificho. Na kila usiku nikilala anachukua simu na kumtext kuangalia kama mahaba yapo au lah. Binti akawa anatiririka tu. (Nilishamkanya asiwe anatext bali mie ntampigia tuongee)....

Sasa akafanya mpango hadi akampata binti uso kwa uso mjini... baada hapo kilichofuata ni balaa maana hakuniambia kama anawasiliana naye.

Hapo kaka kukataa ni ngumu maana binti mwenyewe anakiri kwamba tuna mahusiano...

Kilichofuata hapo ni balaa bin janga.
 
Kaazi kweli kweli mkuu jiulize angekua dadako ndo amechepuka na mume wa mtu halafu akafanyiwa unavyotaka kufanya wewe na mkeo je ungejisikiaje. Ama kweli dhambi ikisha kukomaa huzaa mauti
 
Msanii
Mtu mwenye akili hawezi kuja JF kuomba ushauri kwa jambo jepesi kama hiliNi mtu mzembe na dhaifu anayeweza ku entertain upumbavu kama huo kwenye familia.

Are u sane?
 
Last edited by a moderator:
Mmmmh pole bro.......Mke wako ni katili she can go extra mile to quench her ego! 5 yrs in ndoa naamini bado mnaprocreate what goes around comes around.
 
Naomba kujua elimu ya mkeo Msanii. maana hajui dunia huyo mama.

unaweza kumletea genge wakambaka akapata vvu/ukimwi na akaenda zake baada ya miezi 6 mkakutna mkaamua kukumbushia akakumabukiza kisha nawe ukamwambukiza huyo mkeo. jipange
 
Wanaume nanyi mjiheshimu..mnakutana na mademu njiani them mnawatia bila ndom...shwain kabisa
 
Ni wewe nini?
Umejuaje sijatumia ndom?

Ndio tabia zenu....jitu umekutana nalo..unadhani umbo zuri ndo kutokutumia knga...tutawapa arv sana tu...mtu unamuuliza anakwambia niliupata kwa dd fulani hivi..nilimtia sikumpima
 
Msanii
Muulize mkeo kama na huyo binti alikua anachepuka na njemba yake ikasema imeandaa watu upelekwe atakubali uende?

Kibinadamu inauma na umemkosea lakini kitendo hicho kitafuta kilichotokea? Huo ni uchungu tu lakini hiyo hali itaisha baada ya muda.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom