Yamenichanganya naomba ushauri wa haraka.

Yamenichanganya naomba ushauri wa haraka.

Huyo ni wa kum-black mail akupe, vinginevyo unamwambia dogo.
Akikupa tu mwambie dogo aachane fasta, sio demu.
 
Jamani Leo jioni hii nilikua nakula kitu roho inapenda,baada ya kinywaji kukolea kama mjuavyo toilet lazima ikuzoee.
Katika tripu zangu za toilet ambayo iko ndani ya gesti bila kutegemea nimekutana na shemeji yangu mke wa bwana mdogo tumbo moja akitoka bafuni kafunga taulo,alivyoniona kachanganyikiwa na me nikabaki nimeduwaa,sikumwambia chochote nikaondoka,
Sasa naomba ushauri wenu nifanyeje?

Ulichelewa, palepale ungempigia bro wako aje. au na wewe ni mme wa tu?
 
........I don't like cheating kabisa....ingekua mimi ningemwambia...

Tatizo ni kwamba huyo utakayemwambia atakuelewa mana mapenzi ni ya ajabu sana unaweza ukaonekana mbaya kumbe wew unamsaidia..bora wafumaniane wenyewe uko
 
Tuambie ukweli, isijekuwa na wewe ulikuwa na mpango kando wako halafu hapa unatuzuga eti ulikuwa unapata nikaanza mbili. Any ways isikilize nafsi yako.

Ni hayo tu!
 
Kaa kimya kama unaweza lakini kama unaona si vema kukaa kimya basi vaa viatu vya mdogo wako maana na wewe ni mkeo huyo. Mwite ukae naye umwonye nadhani atakuelewa vizuri. ,usimwambie mdogo wako!. Sioni sababu ya kumharibia siku mdogo wako. Hao wanaosisitiza umwambie mdogo wako hawana uzoefu mambo ya ndoa. Unaweza kumwambia mwishowe ukawa mbaya wewe mwenyewe. tambua huna ushahidi. Lara 1 na wengine wamekupa onyo lizingatie. Mwonye wewe kama mkeo sio kwa niaba.
 
mwambie
luma ukimwi cku hiz
kosa lako palepale ilibidi u mwambie
 
ungemwagizia kinywaji huko huko rum alipo, compliments of shemeji af uone mwenyewe atakayo trip
 
Jamani Leo jioni hii nilikua nakula kitu roho inapenda,baada ya kinywaji kukolea kama mjuavyo toilet lazima ikuzoee.
Katika tripu zangu za toilet ambayo iko ndani ya gesti bila kutegemea nimekutana na shemeji yangu mke wa bwana mdogo tumbo moja akitoka bafuni kafunga taulo,alivyoniona kachanganyikiwa na me nikabaki nimeduwaa,sikumwambia chochote nikaondoka,
Sasa naomba ushauri wenu nifanyeje?



Mimj nasema ivi kaa na mdogo wako alafu mwambie kila kitu kuhudu mkwe

Kwani siku akujua alafu akajua na wewe unafahamu utakuwa utata mkubwa

Ivi unajua tabis ni kama ngozi ya mwili haibadiliki

Hachana na ao ambao awajui uchungu wa ndoa
Je?wangekuwa ao ndo wenye ndoa alafu kamkuta yeye mwenyewe
Inauma
Hacheni ujinga
 
Mimj nasema ivi kaa na mdogo wako alafu mwambie kila kitu kuhudu mkwe

Kwani siku akujua alafu akajua na wewe unafahamu utakuwa utata mkubwa

Ivi unajua tabis ni kama ngozi ya mwili haibadiliki

Hachana na ao ambao awajui uchungu wa ndoa
Je?wangekuwa ao ndo wenye ndoa alafu kamkuta yeye mwenyewe
Inauma
Hacheni ujinga

Ni kweli ndoa inauma sana ila wanadao binadamu kama mimi na wewe...

Katika uzoefu wangu, hakuna mtu mbaya kama yule anayemsaidia mtu kumfumania mwenzi wake!

Experience is the best teacher..

Babu DC!!
 
Mwambie bwana mdogo...hilo ni kosa la mwisho kabisa mtu kufanya kwenye ndoa.....sijui watu wanafikiria vipi>>>?

Not anymore Dr.,siku hizi wanandoa ndio wanaojaza nyumba za wageni,pengine huyo mke alikuwa anamegwa hapo na mumewe anamega somewhere huku kila mmoja akijiona mjanja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom