Hayakuhusu.
kitendo cha kustuka maana yake hayuko naye , cha msingi ni yeye kwenda kumuoana bibie na kukaa kuongea naye kwamba alichokiona ni sehemu ya udhaifu wa kibinadamu , na maisha ya ndoa ndivyo yalivyo na amu hakikishie hata mueleza nduguye, kwishney. lakini akikaa kimya, bibie atajua jamaa anajipanga namna ya kumfikishia taarifa ndugu yake, hapo ni rahisi bibie kumtungia uongo shemeji yake ambao unaweza kuleta madhara katika mausiano yao ya unduguUsipanic mkuu huenda yupo na mdogo wako wameamua kubadili mazingira kdg sikukuu hizi si unajua tena? Usisite kutupa mwendelezo ili tuweze kutoa ushauri yakinifu.
Sijaelewa! Iv mpaka leo still kuna nyumba za wageni zenye vyoo vya kushare, au ushamba wangu?
Jamani Leo jioni hii nilikua nakula kitu roho inapenda,baada ya kinywaji kukolea kama mjuavyo toilet lazima ikuzoee.
Katika tripu zangu za toilet ambayo iko ndani ya gesti bila kutegemea nimekutana na shemeji yangu mke wa bwana mdogo tumbo moja akitoka bafuni kafunga taulo,alivyoniona kachanganyikiwa na me nikabaki nimeduwaa,sikumwambia chochote nikaondoka,
Sasa naomba ushauri wenu nifanyeje?
ushamba wako tu mkuu,au unadhan gest zote bongo vyumba vyao n self contained?
omba game na ww upige! mtakuwa mmeenda sawa kaka!
ushamba wako tu mkuu,au unadhan gest zote bongo vyumba vyao n self contained?
kama ulikuwepo kichwani kwangu vile..... like
ukitaka kuwa mwanaume wa ukweli ongea na shemeji yako na akupeleke kwa huyo aliekuwa nae umchane pia
kama ulikuwepo kichwani kwangu vile..... like