Binti mbona unalialia povu kamasi linakutokaMkutano wajazwa kwa kusafirisha watu na watu wa mikoa ya jirani na wengine wakilazimishwa kuvaa sare za upawa kweli mwisho wa upawa unakaribia
ata mimi nimeshuhudia ITV
kULA LIKE MKUU,hawa ukawa wajinga kweli eti mkutano ulivunjika sababu ya umati,jamani kwa nini sasa waliuanza,yale yale ya Chato,atakuwa aliji .........tenaWaongo sana ..Lowassa alichoka ikaonekana watengeneze zengwe wavunje mkutano ili jamaa akapumzishwe ..mbona mikutano mikubwa watu hawazimii?
Waongo sana ..Lowassa alichoka ikaonekana watengeneze zengwe wavunje mkutano ili jamaa akapumzishwe ..mbona mikutano mikubwa watu hawazimii?
Achà uongo tony
Copy Twaweza, Redet na Faiza foxy...
Onyo: Mtu Huyu Ana Nguvu ya ajabu,Jaribio lolote la
Kupora ushindi wake Watz watapoteza Maisha...
Hili ni balaaa si kitoto..!!
Nawashukiru sana team kampeni ya UKAWA kutokuendelea na mkutano huo ili kuzuia Maafa kama ya Uarabuni. Lazima utafutwe uwanja mwingine na siku nyingine ili wanatang wapate neno la Ukombozi.
BACK TANGANYIKA
Na kwa vyama vinne vilivyoungana huo umati bado ni mdogo kwa uwiano.Leo tanga abiria wametembea kwa miguu baada ya magari na noah kuwa na kazi maalum ya kubeba watu kwenda kwenye mkutano wa ukawa ambao inasemekana bila kufanya wangekosa watu na kuibuia mtafaruku mkubwa miongoni mwao, umati wala tusitishike wana ccm
Waongo sana ..Lowassa alichoka ikaonekana watengeneze zengwe wavunje mkutano ili jamaa akapumzishwe ..mbona mikutano mikubwa watu hawazimii?
mkionyeshwa magharika ya ccm mnakimbilia TCRA kuwa itv inapendelea