Mkuu, hivi mkutano wa Tanga ulifanyika tarehe ngapi na hii photoshop yako mbona inaonyesha kuwa ni atrehe 29 May, umesahau kuedit tarehe, Mungu amekuumbua.Maigizo ya Lowasa Tanga hata Yericko anayafahamu
Mkuu, hivi mkutano wa Tanga ulifanyika tarehe ngapi na hii photoshop yako mbona inaonyesha kuwa ni atrehe 29 May, umesahau kuedit tarehe, Mungu amekuumbua.Maigizo ya Lowasa Tanga hata Yericko anayafahamu
Umesoma kichwa cha habari ?Ukiisoma huku umepiga kiloba hutaielewa, hata biblia iliandikwa miaka 2000 iliyopita lakin yanayotendeka sasa yamo kwenye biblia. Hiyo post aliiandika Yericko Nyerere mwana UKAWA kipindi Lowasa anaenda kutangaza nia Arusha aliielezea mikakati anayoifanya Lowasa Kuihadaa Kamati kuu ya CCM aonekane kua anakubalika sana. mikakati hiyo ndo anaendelea nayo sasa UKAWA
unahitaji kunywa uji , au chukua manati ukawinde ndege......hapa pa wakubwa usijeUkiisoma huku umepiga kiloba hutaielewa, hata biblia iliandikwa miaka 2000 iliyopita lakin yanayotendeka sasa yamo kwenye biblia. Hiyo post aliiandika Yericko Nyerere mwana UKAWA kipindi Lowasa anaenda kutangaza nia Arusha aliielezea mikakati anayoifanya Lowasa Kuihadaa Kamati kuu ya CCM aonekane kua anakubalika sana. mikakati hiyo ndo anaendelea nayo sasa UKAWA
Maigizo ya Lowasa Tanga hata Yericko anayafahamu