Yaliyojiri Tanga: Mkutano wa Mgombea wa CHADEMA, E. Lowassa - Septemba 28, 2015

Mkutano wajazwa kwa kusafirisha watu na watu wa mikoa ya jirani na wengine wakilazimishwa kuvaa sare za upawa kweli mwisho wa upawa unakaribia
 
Wanatanga asanteni kutuonyesha nijinsi gani mmeyapokea mabadiliko na nawapongeza pia viongozi wa ukawa kwa maamuz mapana ya kuahirisha mkutano ili kuwaokoa watanzania kutokana na uwanja kuzidiwa,mmemuonyesha makamba jinsi gan mmechoka na propoganda.
 
Mimi nipo tanga na uzuri leo tanga ni hali ya barid toka asubui mvua inanyesha na mkutanoni kulikua na watu si wengi hivyo kama alivokuja magufuli watu walikua wengi sana na hakuna alozimia wala kukosa pumz na kulikua na jua kali sana hii ya leo lowasa amekuja na ndege na amesimama dk 3 tu akakaa vurugu likaanzia mbele walikokua vikundi vyao ndo kusababisha vurugu na kubwa pilisi ndo wakatuliza na kama umati ungekua mkubwa polisi wasingeweza acheni uongo ukawa kwa tanga hawana watu wengi kama ccm
Zumbukuku unapoteza mb kuandika pumba tu
 
Mkutano ulivunjika,Ukawa ni waungwana kwani waliona wangeweza sababisha maafa kama wangeendelea!Red cross wamesema haijawahi tokea watu 100 kupoteza fahamu kwenye mkutano wa kisiasa so ni kweli umati ulikuwa mkubwa kwa uwanja ule
 
Kutokana na watu kujaa sana kwenye mkutano wa Lowassa baadhi ya watu walianza kukosa hewa kiasi cha kupelekea viongozi wa ukawa kutaka kuahirisha mkutano huo lakini bahati nzuri polisi walifanya kazi nzuri sana kwa kuweza kuwatuliza watu na kuwapanga vizuri hali iliyopelekea utulivu na usalama wa wananchi hivyo kumuwezesha mh. Lowassa na viongozi wengine kuendelea na mkutano. Chanzo taarifa ya habari ya SAA moja kutoka channel ten.

mzee tumbo lilimuanza akaona anatia aibu nyingine mda c mrefu ikabidi watumie politics kumtoa eneo hilo
 
Back
Top Bottom