hhsmakwato
Member
- Mar 19, 2015
- 97
- 51
Mgombe Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Mh Lowassa leo atakuwa ndani ya Tanga katika maeneo mbalimbali ya mkoa huu. Mkutano mkubwa utafanyika katika viwanja vya Tangamano, watu wataanza kufurika kuanzia asubuhi hii.
Bahati nzuri leo tumeamka na mvua ambazo kwa kweli inaonekana ni dalili za kheiri kwa jiji hili la Tanga.
Niko karibu na viwanja hivi vya Tangamano lakini hapatokeki kwa mvua. Nitakupeni updates kadiri nitakapopata muda, Tuwe pamoja!
Peopleeeeeeeez!
Watu walizimia kutokana na Msongamano, UKAWA wakaamua kusitisha mkutano
Bahati nzuri leo tumeamka na mvua ambazo kwa kweli inaonekana ni dalili za kheiri kwa jiji hili la Tanga.
Niko karibu na viwanja hivi vya Tangamano lakini hapatokeki kwa mvua. Nitakupeni updates kadiri nitakapopata muda, Tuwe pamoja!
Peopleeeeeeeez!
Watu walizimia kutokana na Msongamano, UKAWA wakaamua kusitisha mkutano
Last edited by a moderator: