Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
Si watu walikuwa wanasema Tanga ni ngome ya CCM !!mwaka huu hakuna ngome..CCM OUT
Mwaka huu CCM hawana tena ngome. Labda wahamishie Lumumba..
Si watu walikuwa wanasema Tanga ni ngome ya CCM !!mwaka huu hakuna ngome..CCM OUT
Kumbe mikutano mikubwa watu huwa wanafanya nini, wanakufa kama walivokufa kule Morogoro kwenye ufunguzi wa kampeni, baada ya kuwafungia watu ili wasitoke baada ya wasanii muliowaalika kumaliza kutumbuiza.Waongo sana ..Lowassa alichoka ikaonekana watengeneze zengwe wavunje mkutano ili jamaa akapumzishwe ..mbona mikutano mikubwa watu hawazimii?
Kampeni za mgombea urais kupitia ukawa zilizokuwa zifanyike Tanga leo zimeahirishwa kutokana na msongamano mkubwa sana wa watu ambao wamekuwa wakibanana na kukosa hewa na kupelekea watu kupoteza fahamu.
Mkutano huo umeahirishwa ili watu wasiendelee kufurika. Na hii ni baada ya watu zaidi ya 50 kuzimia
Ccm wamekwisha wamekufa kifo cha hiyari!!
HahahahahahahahaR.i.p ficcm
Ni kuyabuluza hayo ma ccm bila huruma
Close
...alafu Tanga si ilikuwa moja ya ngome ya ccm!!...duu...amazing..unaona kwenye mikutano ya Lowassa kunajaa vijana...tena wanawake kwa wanaume....ambao ndio aslimia kubwa ya watanzania...unaona kabisa zile tafiti za twaweza na synovate ni magumashi tu....taratibu ccm sindano itawaingia tu..hadi kieleweke....
Push up imemshinda jana mbeya akalazimika kutimua mbioHapo bila push up!
shikamoo Tanga
people'ssssss....