haya mambo hata 2010 yalijitokeza mkidai kuwa mafuriko lakin bado mjue huo mchezo ushazoeleka na zaid mnafanya hivyo kwenye ngome za ccm ili kuwatia hofu watu, katu asilan tunaendelea kuamini kuwa magufuli ni kiongozi bora
hatuna budi ya kupima umati wa watu kwa kuthaminisha kura maana sio kila anayehuzuria ni mpiga kura wa ukawa wengi wao wanakuja kushangaa uwepo wa lowassa
Aisee mnatafuta nchi kwa utapeli huu na maneno ya kuunga Unga? Mnachagua Kuwa mawakala wa shetani wa zamani yaan ibilisi kwa kununuliwa na lowasa na wenzake, huu uongo una mwisho na kuzimu yenu ni Oct 25
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.