Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,587
- 15,450
Upumbavu sio matusi Chifu....
Hata Invisible alikuwa na 'signature' isemayo: Ficha Upumbavu...Usiifiche Hekima yako
Wapumbavi na malofa sio tusi?
Bali ni sifa ya lichama lenu la kuzimu CCM
Upumbavu sio matusi Chifu....
Hata Invisible alikuwa na 'signature' isemayo: Ficha Upumbavu...Usiifiche Hekima yako
Kuna vyama vinataka kuwakomboa watanzania- wapumbavu na malofa. Benjamin
Kuna kamtindo kameanza kuzoeleka sasa, hasa kwa viongozi wa ccm kutumia salamu ya "asalam alekum", kavukavu, na kua ka ni official, huu ni udini.
mkapa ni mpumbavu na mjinga ndo maana anafikiri sote tunafanana nae
Mkapa anasema wanaosema wanataka kuleta ukombozi ni wapumbavu na malofa
Aliwahi kuwaambia kwamba katoka CCM.
sikiliza sindano za moto za Mzee Ruksa!
Umekunwa vizuri hatari aiseee
Anazeeka vibaya mkuu mwakani atachanganyikiwa kabisa!!mkapa ni mpumbavu na mjinga ndo maana anafikiri sote tunafanana nae
Wewe unadhan Warioba hamjui Lowassa?anajua LOwassa ni mwizi na kuwa Lowassa yupo nyuma ya wafanyabiashara wanaotaka kuila nchi.Ndio maana amewaambia OGOPA KIONGOZI ALIYE KARIBU NA WAFANYABIASHARA WAKUBWA,RUSHWA!