Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,253
- 1,229
Kama upumbavu ni tusi basi tuanze na "invisible"
Mkapa kachokoza nyuki asubiri mapigo kutoka kwa Vijana wa UKAWA,akumbuke tu alikimbia kampeni arumeru kwa Nassari.
Neno wapumbavu sio tusi..
mmm mbona kajichanganya mwenyewe?...maana tena kasema tunaendelea kujikomboa kutoka umaskini ujinga na maradhi!....huu ndo ukombozi unaozungumzwa na upinzani na yeye anajua hilo!....Ila alikuwa anaongea kwa jazba sana .....matusi from Mkapa live kwenye TV sikutegemea!mwenyewe nlishtuka kumbe alimaanisha nchi ilishakombolewa sasa nikuendeleza nchi sio kuikomboa
Neno wapumbavu sio tusi..