akilikubwa
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 590
- 108
CCM ni janga..kama una akili timamu uwezi kuichagua
Kuna vyama vinataka kuwakomboa watanzania- wapumbavu na malofa. Benjamin
Kaka na ujanja wako wote sikutegemea uwe upande huo wa papai bovu CCM.
Umeniangusha kwakweli!
Haya nimerekebisha ni mgombea. Sema sasakajifunze kwanza kuandika ndo uje ujibu hoja zangu