Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,484
- 30,162
Hahaaaaaa........ 😁Tupo Manzese tayariView attachment 1559512
Hahaaaaaa........ 😁Tupo Manzese tayariView attachment 1559512
😂😂😂😂😂😂Nakuja na ndizi zangu bila kusahau kijiko sitaki kushare
Salaam Wakuu,
Leo chama cha cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) , kinazindua Kampeni zake Manzese Dar Es Salaam.
Leo Asubuhi Mgombea Urais wa CHAUMA aliwalalamikia TAKUKURU kwa kumzua kupika Ubwabwa na kuku kwa kile kinachodaiwa ni Rushwa. Akahoji kwanini Wanaotumia Wasanii hawaambiwi wanatoa Rushwa?
Akahoji ni kosa gani mtu akiamua hela ya kuwapa wasanii akawapikia watu wale Ubwabwa na kuku? Kasema watakutana Mahakamani
Nipo hapa kuwaletea kile kinachojiri.
=====
UPDATES: 1544HRS
=====
1618hrs : Mgombea Mwenza wa Urais Masoud Rashid anasema;
View attachment 1559532View attachment 1559533
Tutashirikiana na Mabeberu kupeleka Maji ya Bahari kwenda dodoma. Tutajenga Mfereji kama mfereji wa Suez kwa miaka 10. Awamu ya kwanza tutajenga Kilometa 100 ndani ya mwaka mmoja na nusu. Mfereji huo utatumiwa na Watalii na Meli. Hata Mchina ni bebeeu, tutashirikiana naye.
=> Tutajenga Daraja kutoka Zanzibar hadi Dar Es Salaam ndani ya Miaka Mitano. Ni KM 65 kutoka Zanzibar hadi Dar. Tunaweza Jenga madaraja hata mia
=> Kupeleka vyakula Mahospitalini sasa basi. Watoto kushinda njaa Mashuleni sasa basi. Kura mpeni Hashim Rungwe. Ubwabwa Mashuleni, Mashuleni Ubwabwa. Asanteni sana.
View attachment 1559554View attachment 1559555View attachment 1559557
😂 😂 😂 😂 😂Hashim Rungwe kauza mechi. No ubweche
Inawezekana.Salaam Wakuu,
Leo chama cha cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) , kinazindua Kampeni zake Manzese Dar Es Salaam.
Leo Asubuhi Mgombea Urais wa CHAUMA aliwalalamikia TAKUKURU kwa kumzua kupika Ubwabwa na kuku kwa kile kinachodaiwa ni Rushwa. Akahoji kwanini Wanaotumia Wasanii hawaambiwi wanatoa Rushwa?
Akahoji ni kosa gani mtu akiamua hela ya kuwapa wasanii akawapikia watu wale Ubwabwa na kuku? Kasema watakutana Mahakamani
Nipo hapa kuwaletea kile kinachojiri.
=====
UPDATES: 1544HRS
=====
1618hrs : Mgombea Mwenza wa Urais Masoud Rashid anasema;
View attachment 1559532View attachment 1559533
Tutashirikiana na Mabeberu kupeleka Maji ya Bahari kwenda dodoma. Tutajenga Mfereji kama mfereji wa Suez kwa miaka 10. Awamu ya kwanza tutajenga Kilometa 100 ndani ya mwaka mmoja na nusu. Mfereji huo utatumiwa na Watalii na Meli. Hata Mchina ni bebeeu, tutashirikiana naye.
=> Tutajenga Daraja kutoka Zanzibar hadi Dar Es Salaam ndani ya Miaka Mitano. Ni KM 65 kutoka Zanzibar hadi Dar. Tunaweza Jenga madaraja hata mia
=> Kupeleka vyakula Mahospitalini sasa basi. Watoto kushinda njaa Mashuleni sasa basi. Kura mpeni Hashim Rungwe. Ubwabwa Mashuleni, Mashuleni Ubwabwa. Asanteni sana.
1640hrs: Hashim Rungwe
=> Watoto wetu Mashuleni wana njaa.
Kwanza nawanadi Madiwani Wangu. Chagueni CHAUMA.
View attachment 1559569
Picha ya Madiwani wa CHAUMA Mkoa wa Dar Es Salaam
Mimi nimelazwa Hospitali, nikaondoka. Hakuna chakula kule kule hospitali. Hawa Wamekuta tunapewa Chakula, Mashuleni Madaftari na Kalamu bure.
Mnadanganywa eti Elimu bure. Mna uhakika? Elimu bure lakini Michango mingi.
Mimi nikiingia Madarakani Mashuleni na Hospitalini chakula kitakuwa bure, niingizeni Ikulu.
Nikiingia Madarakani, Nauza Magari yale yote ya Mil 300 hadi 400. Wakuu wa Wilaya na Mikoa watatembelea Land Rover Defender.
1647hrs: Hotuba ya Rais Hashim Rungwe imesimama baada ya Jenereta kuishiwa Mafuta
View attachment 1559554View attachment 1559555View attachment 1559557
Ila Nzi mnuso alionesha tangu Asubuhi kwamba leo hakutokuwa na mnuso Manzese!!Leo vipi hakuna MNUSO?
Dah nimecheka kama mazuri vile 🤣🤣🤣 no retreat no surrenderKwa mara ya kwanza maishani nilijua kwanini nimezaliwa. For the first time I had a purpose.
That purpose was to attend this campaign na kufinyanga ubwabwa kwa kuku kwa kadri ninavyoweza.
Takukuru took that away from me.
Sikubali nakuja hivyo hivyo. I was born for this.