Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,391
- 81,867
Yaani hawa ndiyo wale viumbe walio tusumbua sana enzi hizo kwa kuteka watu na kuwapoteza wengine kupitia hiki kitengo chao X!! Shenzi kabisa hawa.Kitngo X hiki ndo nakisikia leo,wameitana faragha nadhani kwa aajili ya kutokuhoji sana kitengo X,
Maana kibatala haachi kitu.