Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Msafara umeshashuka uwanjani
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1366721734.289770.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1366721734.289770.jpg
    126.1 KB · Views: 584
Hivi sasa kamanda Mnyika kapanda jukwaani kushiriki bunge la wananchi. Ana ajenda mbili. Katiba na ugumu wa maisha.
 
Uwanja ulijaa muda mrefu kabla hata msafara wa Katibu Mkuu, Dkt. Slaa, na wabunge, Peter Msigwa, John Mnyika, Ezekia Wenje, Hyness Kiwia na Joseph Mbilinyi.
vijana mjiandikishe na mjitokeze kupiga kura, hao nyinyiem waondoke
 
naona vijana waliomaliza form 4 2013, wapo kibao na wanahasira.
 
Mkuu usitegemee naha hawezi kuwaomba msama wapiga kura wake, sembuse watanzania, tatizo ni huyo "mwenye mbwa" alichukulia poa, nae anachukulia poa, kwa maCCM huyo atapata uongozi faster tu...

Nakubaliana na wewe, maana kama mwenye mbwa akiona umbwa amenyea sufuria la wali asimkemee usitegemee mbwa aache tabia ya kunyea bakuli la mboga.
 
Kamuhanda na vitu vyake vyenye ncha kali kagwaya this time. Damu ya Mwangozi itakuwa kichwani mwake mpaka siku naye atakapokufa. Hawezi kuwa na amani kamwe kwa kumwaga damu isiyokuwa na hatia.
 
Hyness Kiwia anaendelea kuzungumza, akisema kuwa yeye ni mfano halisi wa ugaidi wa CCM, kwa yale aliyofanyiwa na wana CCM wanaojulikana kwa majina na sura, kule Kirumba, mwaka jana.

Wanafanya ugaidi wao wanasingizia CHADEMA, hasa baada ya CCM kuina wameharibu uhusiano na waandishi wa habari kwa polisi waliowatuma kumwua Daudi Mwangosi.
 
Mnyika anatuma salamu kwa Kamhanda kuwa alisababisha mauaji ya Mwangosi. Anasema kitendo hiki hakivumiliki na hawataliacha suala hili bila ha2a kuchukuliwa
 
Back
Top Bottom