Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Mohamed Mtoi,please watumie kimemo walioko jukwaani wazungumzie kidogo hoja ya Mdee ya leo kwa wizara ya kilimo kuruhusu kampuni iliyokataliwa dunia nzima kwa kuleta madhara ila hapa inapokelewa mikono miwili ili watu wajue na madhara yake
 
Ndo akili zenu zinawatuma mkiona watu wengi mnaona mmeshinda
Duh! Mmejaza utadhani mlikuwa na Ma-Diamond 10! Kwa hizi picha tu zinanitosha kwenda zangu Sinza kwa Mama Lucy kupata ki-nibu changu na vijipande vya Kifaranga.
 
Mnyika anaendelea kutoa somo kwa Kinana kuwa akasome katiba ibara ya 8 inayoonesha madaraka yote yapo kwa wananchi hivyo viongozi wanapaswa kuwajibika kwa wananchi. Ibara ya 21 inasema bila kuathiri uwepo wa viongozi wa kuchaguliwa kila raia anahaki ya kushiriki jambo lolote linalomhusu yeye au serikali.
 
''....wanatuzuia kuijadili DECI...'' n.b: mama mjamzito alianguka na kupoteza UHAI wake wakati wa Polisi walipovamia na kuwakamata viongozi wa DECI...
 
Lumumba mpoooooooooooooooooooooooooooooo???? Wazeee wa buku 7 saba kujitoa ufahamu ndio akili zenu. Leo mtakufa na njaa hakuna cha kuchangia, naona mtatengeneza id nyingine hapo poleni sanaaaaaaaaaaaaaaaaa, hamna tofauti na misukule ile ya shekhe yahya inayomlinda mzee wa kudondoka hapo magogoni..... Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

unaona hapo
hakuna cha diamond, wala chege, wala rina (shimo)
hakuna cha wamama kuhongwa kanga
hakuna cha maroli
hakuna cha john komba wala tot plus
hakuna chabajaji kusomba watu
watu wametoka wenyewe wilaya zoote za iringa mufindi, mafinga, nyororo huko ndani kwa gharama zao,

mpaka 2015 mtaitambua cdm ni nini??? Na kwenye uchaguzi wa kata mjipange, kuua sana watu ili mshinde


huwezi kuzuia mvua, ikataka kunyesha inanyesha tu, cdm ni mvua, cdm ni life staili, cdm ni maji...


leo mtaji... Shia , cc, zomba, mwigulu madelu, bungeni, wingu, taswira, majebere, vutanikute, wakufyozwa, mwapamba, nepi mwandosya---------- mkafie mbali kabisa....

Ccm puuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Hakika... Mnyika sasa anawachaaaanaaaa...
 
Mohamed Mtoi,please watumie kimemo walioko jukwaani wazungumzie kidogo hoja ya Mdee ya leo kwa wizara ya kilimo kuruhusu kampuni iliyokataliwa dunia nzima kwa kuleta madhara ila hapa inapokelewa mikono miwili ili watu wajue na madhara yake

kweli Mkuu.....
 
Mnyika anaendelea kutoa somo kwa Kinana kuwa akasome katiba ibara ya 8 inayoonesha madaraka yote yapo kwa wananchi hivyo viongozi wanapaswa kuwajibika kwa wananchi. Ibara ya 21 inasema bila kuathiri uwepo wa viongozi wa kuchaguliwa kila raia anahaki ya kushiriki jambo lolote linalomhusu yeye au serikali.

ubarikiwe Kamanda.
 
Hakika ni habari njema sana.Hakika utukufu wa Mungu umedhihirika.
 
Mnyika, Kinana akasome vyema ilani ya CHADEMA ili aieneze vyema si kama alivyochakachua Morogoro. CHADEMA ilisema itaanza mchakatowa katiba mpya ndani ya siku 100 si kuandika katiba kwa siku 100.
 
Back
Top Bottom