Yaliyojiri jijini Arusha katika kuaga Miili ya Wanafunzi wa Lucky Vincent waliopata ajali ya gari

Watanzania wenzangu kwanza poleni na msiba uliotupata,kama wazazi,walezi,ndugu jamaa na marafiki..

Baada ya pole hii ya huzuni..naomba mwenye wimbo huu ambao unatumika katika background hapo clouds tv wakati huu wa maonesho ya live ya msiba huu wa lucky vicent school.anisaidie link au hata whatsapp..ndani yupo angel bernad na wasanii wengine..
 
Duh!! Anyway ngoja watakupa ma bongo freva wenzio
 
Kwa kweli tanashukuru jeshi kwa kazi iliofanya Leo, wanajeshi walikuwa Wa kutosha Tena walitapakaa Hadi nje kabisa, na baadhi ya Bara Bara Pia zilifungwa.
 
Ila mm nmekereka na vitu kama viwili hvi, watu kuvaa nguo zao za Ccm japo hawakuwa wengi lkn nkajiuliza hivi hawa watu waliwaza kitu gani?Kingine nmeshangaa na ubora wa spika zilizotumika, ni kama vile hawakujipanga kabisaaa watu tuliokuwepo upande wa Mashariki tulikuwa hatusikii kabisaa mwishowe watu wakaamua kufungua radio za cm zao at least tusikie kinachoendelea
Tukiachana na hayo Jeshi letu wanapaswa kupewa shukrani za dhati kwa kazi yao nzuri walofanya, polisi wetu walishindwa kabisaaaaa
 
Mungu awatie nguvu wazazi na ndugu wa karibu.poleni watanzania wote.Bwana alitoa na Bwana ametwaa.
 
Upande wa speaker yani utafikiri mtu amechuka mziki wa kusikiliza sebuleni kwake akauleta uwanjani yani kila aliyekuwa hapa Leo amelaumu hiyo saund ilikuwa inaishia tu huko jukwaa LA viongoz.Nilidhani jukwaa LA viongozi lingewekwa pale lipowekwa jukwaa la magufuli enzi za kampeni wananchi wote tungeweza ona kinachoendelea.umoja wa watanzania unatia hamasa sana maana watu walijotokeza kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…