MamboHaya Tumemuona!
Well said! Hao majitu haya ziko kisogoni!akili yako haiko sawa - kila jambo mnalitafsiri kizandiki na kulikuza
Kama kweli alitumiwa TISS wakamdunda basi kazi ipo
ata revenge?
Bossman kweli unayaamini hayo?
Yaani kweli TISS wamdunde mtu kama Kinana?
I mean....seriously?
Hahahaaaaa oh well....nikikumbuka uzushi dhidi ya Jen. Mwamunyange nabaki kucheka tu kwa kweli!
HujielewiAibu aibu aibu, haya ziko wapi biringi back awa...,hahahaha
Facial expression he is not OK
Kunajambo siyo bure, picha inajieleza wenye kuweza kutafakari mtafakari ....!!!