Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,670
- 15,247
Sijui hata waliwaza nn wale watu hawajatutendea haki kabisaaaUpande wa speaker yani utafikiri mtu amechuka mziki wa kusikiliza sebuleni kwake akauleta uwanjani yani kila aliyekuwa hapa Leo amelaumu hiyo saund ilikuwa inaishia tu huko jukwaa LA viongoz.Nilidhani jukwaa LA viongozi lingewekwa pale lipowekwa jukwaa la magufuli enzi za kampeni wananchi wote tungeweza ona kinachoendelea.umoja wa watanzania unatia hamasa sana maana watu walijotokeza kweli kweli