Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,384
Hapana haitakuwa hivyo..mwisho wa ibada yalikuja magari maalumu yaliyotolewa na serikali na taasisi nyingine ambayo yalisafirisha miili ya marehemu kwenda sehemu husika kwa ajili ya maazishi kama vile Tanga,Iringa,Kagera, Mbeya, Moshi na maeneo ya Karibu Arusha mjini.Hivi watazikwa pamoja kama wale wa MV BUKOBA?