Mkamba Mmasai
JF-Expert Member
- Apr 18, 2015
- 384
- 65
Lowassa ni namba moja. Hafai kabisa.
Katika hali niliyoitafusiri kama kuchanganyikiwa leo magufuli katoa tena mpya jangwani baada ya kumwambia Rais Kikwete.Nasema wazi, Mheshimiwa Rais Kikwete unisamehe. Uliweka watu madarakani ambao walituchelewesha kwenda mbele
Nimejiuliza huyu mtu naweza kuwa Rais kweli.Huku akijisibu serekali ya JK imefanya makubwa,Huku anakiri maendeleo yamecheleweshwa kwa uteuzi mbovu wa JK
Huyu mtu ni wa kuangalia mara mbili mbili,La sivyo tutazamisha taifa
Jumapili kuna kupigwa sana...
Dharau zako kwa Rais Kikwete na Serikali yake,mwisho wake Jumapili. Dharau zako dhidi ya watanzania wafanyakazi,wakulima na wafanyakazi zitakoma Jumapili.
Dharau zako za kujiona wewe ndiye mchapakazi na msafi pekee chamani,zinafikia tamati Jumapili. Dharau zako za kupania kutumia mabavu hata kwa mambo ya kisheria,zinagota Jumapili. Utajuta kuwafahamu watanzania!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Kwanza ashukuru hata mungu kwamba tulikuwa wajinga kiasi cha kumchagua yeye kama Rais.
Na atafanikiwa sana,najua kuna raia wachache wenye roho mbaya na wivu wa kike ndio wanao mbeza beza kimaksudi wanafikiri hilo tu linaweza kumkatisha tamaa.Magufuli anaenda kubadili hili taifa, walaahi tena...
Watu hao ni Lowasa, Masha, Medeye, Mahanga na mafisadi mengine ambayo yameambiwa yaondoke
Uongo Uongo Uongo!!!!!Magufuli:
Ninafahamu Dar es Salaam mna tatizo la Maji. Kuna mradi wa maji haujamalizika kwa sababu kuna baadhi ya watu wamepeleka zuio mahakamani. Kesi mpaka sasa inasua sua mahakamani wakati tunapoteza watu kwa sababu ya magonjwa kama kipindupindu. Swali la kujiuliza, Kwa nini kesi haimaliziki Mahakamani ili mradi wa maji umalizike kuepusha maafa ambayo tunaweza kuyazuia. Nikiwa Rais siwezi kuingia kazi za Mahakama lakini nitajenga mazingira ya kuwezesha kesi kuisha haraka na kwa ufanisi.