Urafiki wa Kikwete na Lowasa ni dhahiri umekufa. Maana anamponda hapa kua katumia helkopta na mikutano ameshindwa kufanya mikutano......
Magufuli:
Wana Dar es Salaam nadhani mmesikia kuna watu ambao waliwahi kuwa katika nafasi za juu serikalini, wengine waliwahi kuwa Mawaziri Wakuu na washauri wa karibu wa Rais, lakini bila aibu na kumwogopa Mungu wanasimama kwenye makujukwaa na kusema CCM haijafanya lolote. Swali la kujiuliza, kama CCM haijafanya lolote, wao walikuwa wanafanya nini kwa miaka zaidi ya 12 wakiwa Mawaziri wakuu au washauri wa Rais. Kwa nini walibaki ndani ya serikali wakilipwa mishahara wakati walikuwa hawafanyi chochote. Kulipwa mishahara bila kufanya chochote serikalini ni kuwaibia Watanzania. Hawa watu wanasimama kwenye majukwaa wakiwaambia watanzania kimantiki waliwaibia pesa yao kwa miaka zaidi ya 12 kwa sababu hawakufanya lolote wakati tukiwa Mawaziri Wakuu.
Hakiko sawa sababu hajaweka neno "mumewang"? Amakweli kunakitu hakiko sawa kichwanikwako.Kuna tatizo tena kubwa, hii ni mara ya pili Kikwete analazimisha kumtambulisha mke wa Magufuli mara ya kwanza ilikuwa siku ya uzinduzi.
Hata alipoletwa Magufuli aliondoka akabaki Janeth na Kikwete, alipopewa nafasi ya kuomba kura akasema tumpe mheshimiwa Magufuli badala ya Mme wangu Magufuli, kuna kitu hakiko sawa.
Kuwa wakweli kwa hapa dar CCM imekaa kileleni tayari ..sababu sizitoi leo ila kila aliye dar na anaweza kutembea sehemu hadi sehemu basi ataelewa namaanisha nini ...Magufuri kashashinda tena kwa % kubwa sana
Wewe ni mfanyakazi gani hujui kodi ni progressive.Rates increase as scales increase.Kwa hivyo inatumika weighted average
SALARY SLIP Basic Salary 5,000,000.00 GROSS SALARY 5,000,000.00 Less: NSSF/PPF 10%*B5 500,000.00 TAXABLE INCOME 4,500,000.00 Less: INCOME TAX 1,235,900.00 TOTAL STATUTORY DEDUCTIONS 1,735,900.00 NET PAY FOR THIS MONTH 3,264,100.00 Asilimia ya kodi 25%
Heri yenu mnaolipa 18%. Wengine wanalipa hadi 25%
Hakiko sawa sababu hajaweka neno "mumewang"? Amakweli kunakitu hakiko sawa kichwanikwako.
#HapaKaziTu , mapenzi kafanye chumbanikwako
Kama kikwete alipata 61% za magumashi mwaka 2010, magufuli atapata ngapi?
UKAWA hakuna kitu isipokuwa maigizo.hakuna
Wewe ni mfanyakazi gani hujui kodi ni progressive.Rates increase as scales increase.Kwa hivyo inatumika weighted average
#HapaKaziTu
Wadokozi wameanza kuhamisha mabilioni kinyemela na kurudi kwenye fani zao za kuchunga ng'ombe Longido
Nyani haoni kundule.,nani asieyemjua Andrew chenge.,,anna tibaijuka.,ngeleja.,nyalandu..na wengine kibao tu waliopo kwa mafisiem???au ukiondoka ndo ufisadi unapianzia??!!
Ndugu,MwanaDiwani hizi picha ni za siku ya ufunguzi...niko hapa hamna mtu!! na ndio maana hujaweka picha inayoonyesha hao watu pamoja na jukwaa kuu...maana utaumbuka
Ndugu,lakini mzee alisema yuko tayari kwenda kuchunga ng'ombe... Ngoja tuone