Landmark za Hayati Magufuli zinazowatesa wale jamaa ambao hawakuacha chochote

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,553
11,885
Huyu Mwamba "JPM!"

John Pombe Magufuli ameondoka Dunia na hatarudi kamwe.Hii ni kanuni ya ki-maumbile ya Ki-dunia,kulingana na mafundidho ya vitabu vitakatifu vya Mungu kwamba kila nafsi itapitia hatua hiyo kwa muda wake utakapiwadia.

Mimi ninachofurahia ni jinsi Magufuli alivyoacha "Landmarks" lukuki ambazo zinawatesa hawa wapigaji wa kisasa wa kisiasa!

Hawawezi kumfuta Magufuli kirahisi ilhali kaacha Landmark kila kona ya nchi

Nitaziorodhesha hapa na muelewe sababu ya Magufuli kutofutika kirahisi Hapa nchini.

IKULU ya Chamwino-Dodoma.
BWAWA LA UMEME la Nyerere.
MJI WA MAGUFULI MTUMBA-Dodoma.
UKUTA wa Mererani-Manyara.
DARAJA la Tanzanite-Dar es Salaam.
DARAJA LA KIGONGO-BUSISI-Mwanza.
FLYOVERS ya Mfugale -Dar es Salaam.
STENDI YA MAGUFULI-Dar es Salaam.
BARABARA NJIA SITA-Ubungo mpaka mbezi na kuendelea mlandizi.Dar es Salaam.
STENDI KUU -Morogoro.
SOKO KUU-Mwanza.
STENDI KUU-Nyegezi,Mwanza.
STENDI KUU-Nyamhongolo Mwanza.
UWANJA WA NDEGE-Chato.
DARAJA LA WAMI- TANGA.
BOMBA LA MAFUTA -Hoima Uganda mpaka Tanga Tanzania.
RELI YA SGR-Dar es Salaam mpaka Mwanza.

Hizi ni Landmarks na sio vitu vinavyohamishika.ndio maana sijataja Meli wala Ndege.
Kuna pia Zahanati zaidi ya 478 pamoja na hospitali za Wilaya,Rufaa pamoja na za kanda kama Hospitali ya Rufaa Chato.
Kiongozi kama huyu huwezi futa legacy yake kwa kutumia keyboard.

Halafu watu fulani wenye kushiriki uovu kupigana na Legacy ya JPM huku wakitaka kuzitumia hizo Landmarks za JPM kwenye uchaguzi ujao wa 2025.Ushahidi uko wazi.

Watuambie kwanza hizo awamu zingine ukiondoa ya Baba wa Taifa JK Nyerere(R.I.P),na pia Benjamin Mkapa(R.I.P).

Hao wengine watuambie legacy zao walizotuachia kama taifa!
Ni nini na zinatusaidiaje kwa sasa?
 
Wewe na uoslamu wako endelea nao.
Hakuna mahali nimewataja waislamu kwemye andiko langu.
Watu tuna jadili mambo kwa hoja huku wewe ukileta swaumu zako huku.
Makamba alisema wazuri hawafi.....
Je! Waliofuatia kufa nao ni wabaya?
Na yuko wapi kwa sasa na ana hali gani?

Waislamu baadhi huwa mnachemka sana!
Mi sihangaiki na maneno, nahangaika na maana iliyofichwa katika maneno hayo. Kama maneno ya makamba hata wewe 'great thinker' ndo umetafsiri kama yalivyotoka basi umekwama sana. Pole!!
 
Kasirika tu lakini mimi watu wenye akili ndogo kama wewe hamna namna mnaweza kunificha lolote linalohusu matumizi ya akili. Rejea vizuri heading yako.
Mmojawapo wa wale wanaoteseka ni pamoja na wewe!
Hii topic imekuwa jiwe la "gizani"ukisikia kelele ujuwe huyo tayari limempata.
We jamaa ni mfuasi wa ile kambi ya "Fisi" wa Msoga!
Hiyo akili yako inakutosha wewe ili kukutoa na kukurudisha nyumbani kwenu.
Ikiwemo kukuwezesha kubukia barabara!
 
Huyu Mwamba "JPM!"
John Pombe Magufuli... ameondoka Dunia na hatarudi kamwe.Hii ni kanuni ya ki-maumbile ya Ki-dunia,kulingana na mafundidho ya vitabu vitakatifu vya Mungu kwamba kila nafsi itapitia hatua hiyo kwa muda wake utakapiwadia.

Mimi ninachofurahia ni jinsi Magufuli alivyoacha "Landmarks" lukuki ambazo zinawatesa hawa wapigaji wa kisasa wa kisiasa!

Hawawezi kumfuta Magufuli kirahisi ilhali kaacha Landmark kila kona ya nchi

Nitaziorodhesha hapa na muelewe sababu ya Magufuli kutofutika kirahisi Hapa nchini.

IKULU ya Chamwino-Dodoma.
BWAWA LA UMEME la Nyerere.
MJI WA MAGUFULI MTUMBA-Dodoma.
UKUTA wa Mererani-Manyara.
DARAJA la Tanzanite-Dar es Salaam.
FLYOVERS ya Mfugale -Dar es Salaam.
STENDI YA MAGUFULI-Dar es Salaam.
BARABARA NJIA SITA-Ubungo mpaka mbezi na kuendelea mlandizi.Dar es Salaam.
STENDI KUU -Morogoro.
SOKO KUU-Mwanza.
STENDI KUU-Nyegezi,Mwanza.
STENDI KUU-Nyamhongolo Mwanza.
UWANJA WA NDEGE-Chato.
DARAJA LA WAMI- TANGA.
BOMBA LA MAFUTA -Hoima Uganda mpaka Tanga Tanzania.
RELI YA SGR-Dar es Salaam mpaka Mwanza.

Hizi ni Landmarks na sio vitu vinavyohamishika.ndio maana sijataja Meli wala Ndege.
Kuna pia Zahanati zaidi ya 478 pamoja na hospitali za Wilaya,Rufaa pamoja na za kanda kama Hospitali ya Rufaa Chato.
Kiongozi kama huyu huwezi futa legacy yake kwa kutumia keyboard.

Halafu watu fulani wenye kushiriki uovu kupigana na Legacy ya JPM huku wakitaka kuzitumia hizo Landmarks za JPM kwenye uchaguzi ujao wa 2025.Ushahidi uko wazi.

Watuambie kwanza hizo awamu zingine ukiondoa ya Baba wa Taifa JK Nyerere(R.I.P),na pia Benjamin Mkapa(R.I.P).

Hao wengine watuambie legacy zao walizotuachia kama taifa!
Ni nini na zinatusaidiaje kwa sasa?
View attachment 2945050
Hivi hao jamaa, ukianza na kipara, na mzee wa msoga, akili zao ni fupi na ndogo sana. Hivi, unaweza kuishi kwa usanii tu mpaka milele.Hatari ipo kwa huyu mzee Tabasamu, alilopata la aibu pale monduli linakuja kwa mara, nyingine. Nakumbuka mzee Mwalimu Nyerere aliwahi sana kustaafu, miaka 63 ili ajiandae kurekebisha makosa. Lakin huyu mzee Tabasamu amestaafu lakin hataki kustaafu.
 
Hivi hao jamaa, ukianza na kipara, na mzee wa msoga, akili zao ni fupi na ndogo sana. Hivi, unaweza kuishi kwa usanii tu mpaka milele.Hatari ipo kwa huyu mzee Tabasamu, alilopata la aibu pale monduli linakuja kwa mara, nyingine. Nakumbuka mzee Mwalimu Nyerere aliwahi sana kustaafu, miaka 63 ili ajiandae kurekebisha makosa. Lakin huyu mzee Tabasamu amestaafu lakin hataki kustaafu.
Uko sahihi sana!
Hata kule Chato Mr Tabasamu aliadhirika pia.na hata maneno ya kwenye hotuba yake yalijaa utetezi kuliko kuwafariji wafiwa.
Mzee Mwinyi (R.I.P). nae akaja kupigilia msumari juu ya kidonda kwenye ile hotuba yake iliyokinzana na Ya Msoga!
 
Huyu Mwamba "JPM!"

John Pombe Magufuli ameondoka Dunia na hatarudi kamwe.Hii ni kanuni ya ki-maumbile ya Ki-dunia,kulingana na mafundidho ya vitabu vitakatifu vya Mungu kwamba kila nafsi itapitia hatua hiyo kwa muda wake utakapiwadia.

Mimi ninachofurahia ni jinsi Magufuli alivyoacha "Landmarks" lukuki ambazo zinawatesa hawa wapigaji wa kisasa wa kisiasa!

Hawawezi kumfuta Magufuli kirahisi ilhali kaacha Landmark kila kona ya nchi

Nitaziorodhesha hapa na muelewe sababu ya Magufuli kutofutika kirahisi Hapa nchini.

IKULU ya Chamwino-Dodoma.
BWAWA LA UMEME la Nyerere.
MJI WA MAGUFULI MTUMBA-Dodoma.
UKUTA wa Mererani-Manyara.
DARAJA la Tanzanite-Dar es Salaam.
FLYOVERS ya Mfugale -Dar es Salaam.
STENDI YA MAGUFULI-Dar es Salaam.
BARABARA NJIA SITA-Ubungo mpaka mbezi na kuendelea mlandizi.Dar es Salaam.
STENDI KUU -Morogoro.
SOKO KUU-Mwanza.
STENDI KUU-Nyegezi,Mwanza.
STENDI KUU-Nyamhongolo Mwanza.
UWANJA WA NDEGE-Chato.
DARAJA LA WAMI- TANGA.
BOMBA LA MAFUTA -Hoima Uganda mpaka Tanga Tanzania.
RELI YA SGR-Dar es Salaam mpaka Mwanza.

Hizi ni Landmarks na sio vitu vinavyohamishika.ndio maana sijataja Meli wala Ndege.
Kuna pia Zahanati zaidi ya 478 pamoja na hospitali za Wilaya,Rufaa pamoja na za kanda kama Hospitali ya Rufaa Chato.
Kiongozi kama huyu huwezi futa legacy yake kwa kutumia keyboard.

Halafu watu fulani wenye kushiriki uovu kupigana na Legacy ya JPM huku wakitaka kuzitumia hizo Landmarks za JPM kwenye uchaguzi ujao wa 2025.Ushahidi uko wazi.

Watuambie kwanza hizo awamu zingine ukiondoa ya Baba wa Taifa JK Nyerere(R.I.P),na pia Benjamin Mkapa(R.I.P).

Hao wengine watuambie legacy zao walizotuachia kama taifa!
Ni nini na zinatusaidiaje kwa sasa?
View attachment 2945050
Upanuzi wa Umeme Vijijini: Serikali ya Magufuli iliweka juhudi za kupanua upatikanaji wa umeme katika maeneo ya vijijini kupitia miradi mbalimbali ya umeme, lengo likiwa ni kuboresha hali ya maisha na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika maeneo ya mbali.

Ungaji Mkono Sekta ya Kilimo: Alianzisha mipango ya kuunga mkono wakulima wadogo, ikiwa ni pamoja na kutoa pembejeo kwa bei nafuu, kuboresha mifumo ya umwagiliaji, na kukuza mbinu za kilimo za kisasa ili kuongeza uzalishaji wa kilimo na uhakika wa chakula.

Uwekezaji katika Elimu; Magufuli alisisitiza umuhimu wa elimu na kutenga rasilimali kuboresha miundombinu ya shule, kuajiri walimu, na kuboresha ubora wa elimu nchini kote.

Majadiliano ya Kidiplomasia: Serikali yake iliendesha diplomasia ya aktivi, kusitawisha uhusiano na nchi jirani na washirika wa kimataifa, ambayo ilichangia hadhi ya Tanzania katika jukwaa la kimataifa na kufanikisha ushirikiano katika maeneo mbalimbali kama biashara, usalama, na maendeleo.

Mageuzi katika Sekta ya Umma: Magufuli aliendesha mageuzi kusafisha operesheni za serikali, kupunguza urasimu, na kuboresha utoaji wa huduma, kupitia juhudi kama vile kidijitali katika huduma za serikali na jitihada za kuboresha ufanisi katika taasisi za umma.

Maelezo haya ya ziada hutoa mtazamo kamili zaidi wa mafanikio yanayohusishwa na urais wa John Pombe Magufuli, ukiangazia njia yake mbalimbali ya utawala na maendeleo nchini Tanzania.

Machepele Tanzania.
 
1. Mfugale flyover Kikwete
2.Shule za kata kikwete (kwangu Mimi nafikiri hakuna mradi mkubwa na muhimu nchi hii kama huu)
3. Mwendokasi kikwete
4. Mloganzila kikwete
5.Daraja la kigamboni Kikwete
6. Kuunganisha nchi nzima Kwa lami ni Kikwete
7.Chuo kikuu Dodoma Kikwete
8. Mikopo vyuo vikuu Kikwete(Hii ni moja ya mambo makubwa kuwahi kufanyika nchi hii)
9. Umeme wa Rea n.k

Kifupi kila mtu kafanya Kwa nafasi yake na Kwa muda wake . Mambo ya kusema JPM ndo alifanya makubwa kuliko wenzie ni uongo na kutokuwa na Data sahihi . Ukienda kwa comparison hii unayotumia wewe JPM anaweza kuwa wa mwisho (Based on data & Statistics)

Kwa nini nasema ulinganifu huu haufai? Mfano Samia anaweza kuwa amejenga kipande kikubwa cha mwendokasi kuliko hata Kikwete au kumkaribia lakini mwendokasi muanzilishi ni JK. Tuchukue mfano wa Mkapa kuja na muundo wa taasisi Kama TRA, we unadhani ni Raisi gani anaweza kushindana na hii ? Hata mradi wa shule za kata tu kushindana nao ni mziki ndo maana nasema ulinganifu wako haufai
 
Mmojawapo wa wale wanaoteseka ni pamoja na wewe!
Hii topic imekuwa jiwe la "gizani"ukisikia kelele ujuwe huyo tayari limempata.
We jamaa ni mfuasi wa ile kambi ya "Fisi" wa Msoga!
Hiyo akili yako inakutosha wewe ili kukutoa na kukurudisha nyumbani kwenu.
Ikiwemo kukuwezesha kubukia barabara!
🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi unapata usingizi kweli huko uliko?!!! Kumbe unamchukia jk pia?!!!! Sikujua Kama una matatizo mengi hivi 'ya kujitakia'. Pole sana mdau, kuna watu hata uwachukie vipi watafanikiwa zaid8 yako tu na urabaki na makasiriko hadi siku ya kufa.
 
1. Mfugale flyover Kikwete
2.Shule za kata kikwete (kwangu Mimi nafikiri hakuna mradi mkubwa na muhimu nchi hii kama huu)
3. Mwendokasi kikwete
4. Mloganzila kikwete
5.Daraja la kigamboni Kikwete
6. Kuunganisha nchi nzima Kwa lami ni Kikwete
7.Chuo kikuu Dodoma Kikwete
8. Mikopo vyuo vikuu Kikwete(Hii ni moja ya mambo makubwa kuwahi kufanyika nchi hii)
9. Umeme wa Rea n.k

Kifupi kila mtu kafanya Kwa nafasi yake na Kwa muda wake . Mambo ya kusema JPM ndo alifanya makubwa kuliko wenzie ni uongo na kutokuwa na Data sahihi . Ukienda kwa comparison hii unayotumia wewe JPM anaweza kuwa wa mwisho (Based on data & Statistics)

Kwa nini nasema ulinganifu huu haufai? Mfano Samia anaweza kuwa amejenga kipande kikubwa cha mwendokasi kuliko hata Kikwete au kumkaribia lakini mwendokasi muanzilishi ni JK. Tuchukue mfano wa Mkapa kuja na muundo wa taasisi Kama TRA, we unadhani ni Raisi gani anaweza kushindana na hii ? Hata mradi wa shule za kata tu kushindana nao ni mziki ndo maana nasema ulinganifu wako haufai
Mkuu, si kuwa hawajui hili, la hasha! Wanajua sana tu lkn ukweli ni kuwa wana lao jambo. Ndo maana mi nikaenda moja kwa moja kwenye hilo jambo lao ili unafiki utupiwe kule. Mleta mada ana shida na watu wenye majina ya Saidi, Mohamedi, Zainabu n.k......likiondolewa hilo tatizo basi mada za kibaguzi km hz hatutoziona. Utampatia kila aina ya data lkn nafsi yake imejawa na chuki hivyo itakuwa kazi bure tu.
 
Mkuu, si kuwa hawajui hili, la hasha! Wanajua sana tu lkn ukweli ni kuwa wana lao jambo. Ndo maana mi nikaenda moja kwa moja kwenye hilo jambo lao ili unafiki utupiwe kule. Mleta mada ana shida na watu wenye majina ya Saidi, Mohamedi, Zainabu n.k......likiondolewa hilo tatizo basi mada za kibaguzi km hz hatutoziona. Utampatia kila aina ya data lkn nafsi yake imejawa na chuki hivyo itakuwa kazi bure tu.
Kwa kweli kukaa na kujitapa/ kushabikia au ku entertain udini Kwa namna yoyote ile ni upumbavu kiwango cha lami ..
 
Back
Top Bottom