Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Wakati mwingine nachelea kuamini kuwa hawa ndugu zetu wa kutoka kaskazini yaani wakina MANGI wana ukabila fulani kama wakikuyu wa Kenya vile na hili limenisononesha sana pale lilipofanywa na watu ambao ni wasomi wa wakiwa wanahisa wa AKIBA COMMERCIAL BANK!!! Mimi ni mwanahisa wa hii benki na huko nyuma ilikubalika kuwa mwenyekiti wa hiyo benki atatokana na wawakilishi wa wanahisa wadogo wazalendo katika bodi; sasa cha kushangaza ni kwamba safairi hii tumewachagua wawakilishi wawili ambao sio wachaga na matokeo yake ni kwamba mkurugenzi mchaga ambae ni mzalendo lakini anawakilisha corporate shareholders ameweza kuwashawishi wanahisa wazungu wakubali kuwa utaratibu sio kuwa mwenyekiti atokane na wawakilishi wa wanahisa wadogo bali wanahisa wote wazawa kitu ambacho kilimuhalalisha yeye kupewa huo uenyekiti na hao wazungu wanaoshirikiana nae kuihujumu hiyo benki; ukweli ni kwamba nyuma ya pazia, mbinu hii ilitumika ili kuhakikisha kuwa MCHAGGA ndio anakuwa mwenyekiti wa hii benki na sio vinginevyo!!! Ukabila wa namna hii lazima tuupige vita kama tunavyowapiga vita magamba!!

Ndugu yangu huyo unayemsema ndie mwanzilishi wa hiyo benki. Yaani kupewa uenyekiti tena kwa kura za wajumbe inakutia simanzi? Kwa kweli roho zetu nyeusi kama tulivyo na ndio maana hata kupata riziki kwa Mungu inakuwa ni kazi.
 
Upinzani mnawachangia akina Slaa kujegea mahekalu, mabwepande. Mbowe kununuwa majumba UK, Dubai.

Au huyajui hayo?

CCM inachangiwa na wezi kama IPTL, Dowans, makampuni ya mafuta, wahindi ndo maana wafanyabishara hawataki kulipa kodi kisa wanasubiri uchagizi ukifika wachangie chama chakavu hafj wao wanasamehewa kodi.
 
Wakati mwingine nachelea kuamini kuwa hawa ndugu zetu wa kutoka kaskazini yaani wakina MANGI wana ukabila fulani kama wakikuyu wa Kenya vile na hili limenisononesha sana pale lilipofanywa na watu ambao ni wasomi wa wakiwa wanahisa wa AKIBA COMMERCIAL BANK!!! Mimi ni mwanahisa wa hii benki na huko nyuma ilikubalika kuwa mwenyekiti wa hiyo benki atatokana na wawakilishi wa wanahisa wadogo wazalendo katika bodi; sasa cha kushangaza ni kwamba safairi hii tumewachagua wawakilishi wawili ambao sio wachaga na matokeo yake ni kwamba mkurugenzi mchaga ambae ni mzalendo lakini anawakilisha corporate shareholders ameweza kuwashawishi wanahisa wazungu wakubali kuwa utaratibu sio kuwa mwenyekiti atokane na wawakilishi wa wanahisa wadogo bali wanahisa wote wazawa kitu ambacho kilimuhalalisha yeye kupewa huo uenyekiti na hao wazungu wanaoshirikiana nae kuihujumu hiyo benki; ukweli ni kwamba nyuma ya pazia, mbinu hii ilitumika ili kuhakikisha kuwa MCHAGGA ndio anakuwa mwenyekiti wa hii benki na sio vinginevyo!!! Ukabila wa namna hii lazima tuupige vita kama tunavyowapiga vita magamba!!

Tatizo nchi kuna wajinga wengi vitu kama hivi hawapendi kuvifanyia utafiti ili kuupata ukweli wakati haiwaghalimu pesa yoyote. Hawa watu ni hatari... nachelea kuamini kuwa Nyerere hasingeacha misingi mizuri ya utawala kwa kujaribu kudhibiti nguvu ya baadhi ya makabila makubwa mi nakuapia hivi sasa tungekua tunaongea mengine kama nchi za majirani zetu. Lakini taratitu naanza kuona viashiria vya hii hali ya makabila kuanza kutumia uwezo wao, nguvu zao, na vyombo vyao vya habari kuanza kujijenga ndani ya nchi taratibu. Ni hatari sana.
 
Kama wakitangaza pungufu ya milion 500 basi ujue tayari mbowe na lema wameshapiga mpunga wa kufa mtu. Hapa tu jf kulikojaa majobless kuna watu walikua wana-comment kuwa wamechanga laki 3.

....Duuh. Siamin Kama Iko Hivyo.
 
Kushindwa kwenu maisha ndiockunawafanya kutafuta mchawi! Mwanzo ilikuwa --------- sasa mmeongeza na wachagga. Wachaga ni watu wasiotafuta sababu bali ujishugulisha kwa bidii zote na ndio maana wanatoka kimaisha. Mind set yao tofauti sana na watu wengine. Badilisha mitazamo yako ndio utaona matunda badala ya kutafuta wachawi. Biblia inasema awazavyvo mtu ndivyo alivo au in english is as a man thinks so is he. Change the way you guys think!
 
Kushindwa kwenu maisha ndiockunawafanya kutafuta mchawi! Mwanzo ilikuwa wahindi sasa mmeongeza na wachagga. Wachaga ni watu wasiotafuta sababu bali ujishugulisha kwa bidii zote na ndio maana wanatoka kimaisha. Mind set yao tofauti sana na watu wengine. Badilisha mitazamo yako ndio utaona matunda badala ya kutafuta wachawi. Biblia inasema awazavyvo mtu ndivyo alivo au in english is as a man thinks so is he. Change the way you guys think!
 
Wakati mwingine nachelea kuamini kuwa hawa ndugu zetu wa kutoka kaskazini yaani wakina MANGI wana ukabila fulani kama wakikuyu wa Kenya vile na hili limenisononesha sana pale lilipofanywa na watu ambao ni wasomi wa wakiwa wanahisa wa AKIBA COMMERCIAL BANK!!! Mimi ni mwanahisa wa hii benki na huko nyuma ilikubalika kuwa mwenyekiti wa hiyo benki atatokana na wawakilishi wa wanahisa wadogo wazalendo katika bodi; sasa cha kushangaza ni kwamba safairi hii tumewachagua wawakilishi wawili ambao sio wachaga na matokeo yake ni kwamba mkurugenzi mchaga ambae ni mzalendo lakini anawakilisha corporate shareholders ameweza kuwashawishi wanahisa wazungu wakubali kuwa utaratibu sio kuwa mwenyekiti atokane na wawakilishi wa wanahisa wadogo bali wanahisa wote wazawa kitu ambacho kilimuhalalisha yeye kupewa huo uenyekiti na hao wazungu wanaoshirikiana nae kuihujumu hiyo benki; ukweli ni kwamba nyuma ya pazia, mbinu hii ilitumika ili kuhakikisha kuwa MCHAGGA ndio anakuwa mwenyekiti wa hii benki na sio vinginevyo!!! Ukabila wa namna hii lazima tuupige vita kama tunavyowapiga vita magamba!!

Unataka kusema CDM ni mwahisa wa ACB?
 
Tupewe Mrejesho kwanza wa harambee zilizopita!
MSALANI
===>Mrejesho wa yale mabilioni ya ESCROW mmeshatoa?bora hawa wanaodunduliza michango ya hapa na pale kuliko nyie mnaokwapua mabilioni nakwenda kungonoka na machangu.
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo sie tuchangie chadema ruzuku inafanya kazi gani?

Lusungo, huu siyo wakati wa vyama kutegemea RUZUKU.Inabidi kama watanzania wazalendo tupige vita hii kitu RUZUKU, vyama vianza kujitegemea, wanachama ndiyo wawe na wajibu wa kukitegemeza chama chao.CDM imefanya vyema kuwapa wanachama wake njia ya kukitegemeza chama chao.Tafuta njia ya kutegemeza chama chenu.Ruzuku inabidi kuanza kupunguzwa kidogo kidogo.

Na pia yale majengo tuliyojenga kwa makato ya mishahara yetu enzi za chama kushika utamu inabidi yetejeshwe serikalini, ili na hicho chama cha mafisadi kianze kwenye level moja na vyama vingine vya siasa.

Kumbuka ukiishi nyumba ya vioo usitupe mawe.
 
Tatizo nchi kuna wajinga wengi vitu kama hivi hawapendi kuvifanyia utafiti ili kuupata ukweli wakati haiwaghalimu pesa yoyote. Hawa watu ni hatari... nachelea kuamini kuwa Nyerere hasingeacha misingi mizuri ya utawala kwa kujaribu kudhibiti nguvu ya baadhi ya makabila makubwa mi nakuapia hivi sasa tungekua tunaongea mengine kama nchi za majirani zetu. Lakini taratitu naanza kuona viashiria vya hii hali ya makabila kuanza kutumia uwezo wao, nguvu zao, na vyombo vyao vya habari kuanza kujijenga ndani ya nchi taratibu. Ni hatari sana.

Unachuki tu na wachagga huna lolote.Tafuta njia mbadala ya kuwa kama wao.Hao wakwere wamekusaidia nini zaidi ya kulifilisi Taifa.

Wezi wa mali za umma huwapigi vikumbo inawachekelea kama punguwani.

Kama mnawaona wa kaskazini hawafai wafukuzeni hata huko kwenye chama chenu cha mafisadi?
 
Tupewe Mrejesho kwanza wa harambee zilizopita!
Sijawahi ona siasa za wasomi ambao hujadili ngumbaru badala ya kujadili sera,mrejesho haukuhusu,kama unataka si ofisi zipo wazi?Mbona hujadili namna gani elimu yetu iboreshwe,namna gani wakulima,wafanyakazi wawekewe mazingira bora ya utendaji?Kazi kubwa kujadili mbowe kajikopesha,mbina hsmsemi fedha za pango,viwanja vya ccm fedha zao zinatumikaje? Jifunze kufikiri
 
Upinzani mnawachangia akina Slaa kujegea mahekalu, mabwepande. Mbowe kununuwa majumba UK, Dubai.

Au huyajui hayo?
Pilipili wale wengine kuwashwa uwashwe wewe una hasara gani iwapo hela hukutoa wewe,kama vipi na wewe itisha harambee yako ukachangiwe.
 
Kutakuwa na harambee ya CHADEMA itakayofanyika kesho tarehe 31/10/2014 katika ukimbu wa Serena Hotel na kurushwa live na ITV kuanzia saa 3 usiku mpaka 5 usiku.

Katika harambee hiyo,CHADEMA watazindua matumizi ya teknolojia katika siasa.

CHANZO:ITV

Tahadhari:TANESCO msitukatie umeme kwa kisingizio chochote kile.

UPDATE:

JINSI YA KUCHANGIA;

MPESA
1.*150*00#
2.LIPA KWA MPESA-CHAGUA NAMBA 4
3.INGIZA NAMBA YA KAMPUNI AMBAYO NI 213040
4.INGIZA KUMBUKUMBU YA MALIPO UTAANDIKA M4C(ikifuatiwa na jina ila sio lazima)
5.WEKA KIASI
6.NAMBA YA SIRI
7.THIBITISHA

NOTE:Kama hutaki jina lako lionekane,andika M4C tu.Ila kama unataka jina lako lionekane andika M4C kisha ikifuatiwa na jina lako bila kuacha nafasi,mfano M4CMbowe.
Kurugenzi ya Habari chadema hata picha hamuweki?au ndio msimu wa kampeni umeisha?
 
Last edited by a moderator:
Tatizo nchi kuna wajinga wengi vitu kama hivi hawapendi kuvifanyia utafiti ili kuupata ukweli wakati haiwaghalimu pesa yoyote. Hawa watu ni hatari... nachelea kuamini kuwa Nyerere hasingeacha misingi mizuri ya utawala kwa kujaribu kudhibiti nguvu ya baadhi ya makabila makubwa mi nakuapia hivi sasa tungekua tunaongea mengine kama nchi za majirani zetu. Lakini taratitu naanza kuona viashiria vya hii hali ya makabila kuanza kutumia uwezo wao, nguvu zao, na vyombo vyao vya habari kuanza kujijenga ndani ya nchi taratibu. Ni hatari sana.

Jitahidini kuwasomesha watoto wenu na sio kupiga kelele mitandaoni. Hao waliochaguliwa wamechaguliwa kwa elimu zao na wakaonekana wana uwezo wa kuendesha huo ushirika wenu. siku hizi hata mwenyekiti wa kijiji anatakiwa awe na elimu kwani wasomi vijijini ni wengi siku hizi na hawatakubali kuongozwa na asie na uwezo wa kutayarisha hata ripoti ya mapato na matumizi. Kama uliangalia bunge la katiba Dodoma uliwaona wakata viuno ukumbini huku wakijua picha za video zinarusha live kwenye tv na wapiga kura wao wanawaona live. Angalia elimu zao utayagundua mapungufu makubwa. Mashirika mengi ya uma yalikufa kutokana na elimu ndogo ya viongozi na kupeana madaraka kwa upendeleo mbali ya kuendeshwa kisiasa. Ni kweli Nyerere aliacha misingi mizuri ya usawa kwa wananchi wake na haikuwa kazi yake kudhibiti maendeleo ya baadhi ya makabila. Uelewe maendeleo kwa baadhi ya makabila yaliletwa na viongozi wa dini kwani walikoweka makazi walifungua shule na mahospitali hivyo wananchi wa maeneo hayo kustaarabika na kusoma kwenye shule zao. Nauli iliyomwezesha Nyerere kwenda U.N. kudai uhuru pamoja na wazee wa Dsm kuchangia pia wapo wengine waliochangia kutoka makqbila unayoyatuhumu leo. Tena ujue huko huko alimkuta Marealle nae akiwa na madai hayo hayo na wakaungana na Nyerere kuachiwa jukumu hilo.Mwisho uelewe ulimwengu wa sasa ni wa sayansi na teknologia hivyo elimu ni msingi mkubwa kwa kila jambo sasa hivi. Enzi za typewritter zimepitwa na wakati.
 
Wewe mburura kweli!!!! gharama za rais kwenda China kupewa uprofesseri kiasi gani?
Gharama zs kukimbiza mwenge nchi nzima shilingi ngapi?
Chadema hawaongozi serikali na hawana mkataba na watanzania kuwapa huduma hizo hadi mwaka 2015.

Wewe ndio hamnazo na kesho hazitakuwepo.

Hivi unajuwa mikataba mingapi ya maendeleo kasaini Kikwete China? nnauhakika hujui na wala hutaki kujuwa.

Hivi kwenu wapi? hakuna mabasi ya Yutong na ma lorry ya Howo yanayokwenda huko? au hujawahi kupita barabara mpya inatengenezwa na ukaona Wachina wako busy? unafikiri vinakuja au wanakuja tu bila kwanza kuwa na uhusiano?

Huyu unamjuwa? na hapa unajuwa ni wapi? na unajuwa katumia gharama ngapi kufika hapo?:




Punguani wahed.
 
Wewe ndio hamnazo na kesho hazitakuwepo.

Hivi unajuwa mikataba mingapi ya maendeleo kasaini Kikwete China? nnauhakika hujui na wala hutaki kujuwa.

Hivi kwenu wapi? hakuna mabasi ya Yutong na ma lorry ya Howo yanayokwenda huko? au hujawahi kupita barabara mpya inatengenezwa na ukaona Wachina wako busy? unafikiri vinakuja au wanakuja tu bila kwanza kuwa na uhusiano?

Huyu unamjuwa? na hapa unajuwa ni wapi? na unajuwa katumia gharama ngapi kufika hapo?:




Punguani wahed.

aweke wazi iyo mikataba kama anasadifu sera yake ya utawala bora uone madudu aliokubaliana nayo mpaka kupata icho anachosaini utahama leo icho chama
 
Back
Top Bottom