Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Kutakuwa na harambee ya CHADEMA itakayofanyika kesho tarehe 31/10/2014 katika ukimbu wa Serena Hotel na kurushwa live na ITV kuanzia saa 3 usiku mpaka 5 usiku.

Katika harambee hiyo,CHADEMA watazindua matumizi ya teknolojia katika siasa.

CHANZO:ITV

kamanda wale wa copy hawatachelewa
 
Hela za kwenda Serena hotel wamepata wapi? hela alizochangisha Lema za m4c ziko wapi? yaani tuache kuchangia maabara tuchangie ujinga??

pathetic fool....
Hoya mwanasheria uchwara upo? tuchangie maabara wakati bajeti ya wizara ya Elimu ikifanya kitu gani?
 
Chama cha wapiga hela, hilo ni dili jingine la kuinua familia zao.
Duh! umenikumbusha mbali sana bwana mdogo! nasikia harufu ya wale jamaa waliopiga hela ya EPA, rada, Meremeta na juzijuzi hapa wakapiga hela nono ya IPTL, kweli wewe jamaa unakumbukumbu kali!
 
Hii ni hatua nyingine njema kwa vyama vya upinzani kuweza kujitegemea
na kufanya mambo yao wenyewe kupitia wapenzi na wanachama wao.

Hii ni nzuri endapo Ruzuku ikikatwa ghafla, Chama kinaweza kujisimamia na kujiendesha.
 
Mnh sasa km walimfukuza Zzk aliyekua anahoji usalama wa pesa za wavuja jasho me sichangii hata cent maana watakula tu hizo pesa

Utachangia nini wewe mwenye kipato cha buku 7? Unategemea huruma ya nape ili uishi! Wazalendo wa nchi hii lazima tuchangie ukombozi wa kweli
 
Wale wa kucopy na kupaste wapo karibu nao kuiga! Ccm ni genge la vilaza tu!
 
Utachangia nini wewe mwenye kipato cha buku 7? Unategemea huruma ya nape ili uishi! Wazalendo wa nchi hii lazima tuchangie ukombozi wa kweli


Tulia young lady utapeli wenu haukubaliki
 
Tena limekuja wakati muafaka, watu tuna vijimshahara vyetu vya kuungaunga havijaisha - lazima tukichangia chama kinachoonyesha nia ya dhati ya kuwatumikia watanzania wanyonge!!

CHADEMA ni tumaini letu. Tunajiandaa kuchangia - Asante kwa taarifa.
 
Hiki chama ni cha wananchi lazima tukichangie! Peoplessssssss.
 
Hiyo harambee ni ya Chadema au Ukawa? Kwenye masuala yanayohusu pesa Chadema wanawatenga Ukawa..hahahaha
 
Kesho ijumaa SAA 3 usiku ni kipima joto...

Kwa hiyo unataka picha au? Mbona we mburura hivyoooooo!

Mi nilidhani utauliza Humphrey Polepole itakuwaje manake nilisikia mida hiyo hiyo atachambuwa Rasimu za Katiba!
 
Kwahiyo sie tuchangie chadema ruzuku inafanya kazi gani?
We mwanasheria uchwara, ulishawahi kusika CHADEMA inakusanya michango kwa kutumia mgambo kama serikali yenu ya CCM inavyokusanya michango ya maabara ?
 
Back
Top Bottom