Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,645
Mbona hata chadema bila kundi la kuuwa watu na kumwagia tindikali watu ni chama chepesi sana.Amesema ccm haina ubavu kupambana na ukawa ila wanasaidiwa na vyombo vya dola kuvibana vyama pinzani ila wajiandae kuanzia jumatatu mchaka mchaka una anza kote nchini
