Harambee hii usikute mnachangia matibabu ya baba yake Joyce Mukya India.
Akili zako sawa na kuku.CDM TUNASONGA MBELE NA MAKAMANDA TAYARI TUSHACHANGA! CDM SAWA NA OKSIJEN,UTAITAKA TU!
Harambee hii usikute mnachangia matibabu ya baba yake Joyce Mukya India.
..kwa taarifa yako hakuna chama kilichopata hati safi.
..kuna kimoja hakijawasilisha mahesabu yake.
Akili zako sawa na kuku.CDM TUNASONGA MBELE NA MAKAMANDA TAYARI TUSHACHANGA! CDM SAWA NA OKSIJEN,UTAITAKA TU!
Akili zako sawa na kuku.CDM TUNASONGA MBELE NA MAKAMANDA TAYARI TUSHACHANGA! CDM SAWA NA OKSIJEN,UTAITAKA TU!
Mchangieni Mbowe pesa za kwenda Dubai akatanue na Mukya J!
... Makamanda, Vp Jana Zilipatikana Milion Ngapi??
Inawezekana hiyo harambee imeandaliwa na Mengi. Si unajua tena wachaga wameamua kuungana kutengeneza kiota chao!!! Wakuwasikitikia ni wale wenzangu na mie wasiojitambua na kuamua kuijenga empire ya kazkazini wakati kwao kusini. Yani ni sheedah...
Kutopata hati safi kwa vyama vyote hakuondoi makosa kwa chadem....
Muda mrefu hela za chadema zinaliwa na familia za wachaga huko bila kunufaisha wananchi wote...
- Kwanini tuchangishwe wakati Chama kinapewa ruzuku na serikali?
- Tokana na ripoti ya CAG, mahesabu ya Chadema yanatiliwa shaka. Tutawaamini vipi kuwapa pesa zetu nyingine?
- Kulikuwa na michango kama hii huko nyuma, tunaomba kupewa marejesho kabla ya kuanza kuchangishwa tena.
Wakati mwingine nachelea kuamini kuwa hawa ndugu zetu wa kutoka kaskazini yaani wakina MANGI wana ukabila fulani kama wakikuyu wa Kenya vile na hili limenisononesha sana pale lilipofanywa na watu ambao ni wasomi wa wakiwa wanahisa wa AKIBA COMMERCIAL BANK!!! Mimi ni mwanahisa wa hii benki na huko nyuma ilikubalika kuwa mwenyekiti wa hiyo benki atatokana na wawakilishi wa wanahisa wadogo wazalendo katika bodi; sasa cha kushangaza ni kwamba safairi hii tumewachagua wawakilishi wawili ambao sio wachaga na matokeo yake ni kwamba mkurugenzi mchaga ambae ni mzalendo lakini anawakilisha corporate shareholders ameweza kuwashawishi wanahisa wazungu wakubali kuwa utaratibu sio kuwa mwenyekiti atokane na wawakilishi wa wanahisa wadogo bali wanahisa wote wazawa kitu ambacho kilimuhalalisha yeye kupewa huo uenyekiti na hao wazungu wanaoshirikiana nae kuihujumu hiyo benki; ukweli ni kwamba nyuma ya pazia, mbinu hii ilitumika ili kuhakikisha kuwa MCHAGGA ndio anakuwa mwenyekiti wa hii benki na sio vinginevyo!!! Ukabila wa namna hii lazima tuupige vita kama tunavyowapiga vita magamba!!
Kutopata hati safi kwa vyama vyote hakuondoi makosa kwa chadem....
Muda mrefu hela za chadema zinaliwa na familia za wachaga huko bila kunufaisha wananchi wote...
... Makamanda, Vp Jana Zilipatikana Milion Ngapi??
Inawezekana hiyo harambee imeandaliwa na Mengi. Si unajua tena wachaga wameamua kuungana kutengeneza kiota chao!!! Wakuwasikitikia ni wale wenzangu na mie wasiojitambua na kuamua kuijenga empire ya kazkazini wakati kwao kusini. Yani ni sheedah...
Wakati mwingine nachelea kuamini kuwa hawa ndugu zetu wa kutoka kaskazini yaani wakina MANGI wana ukabila fulani kama wakikuyu wa Kenya vile na hili limenisononesha sana pale lilipofanywa na watu ambao ni wasomi wa wakiwa wanahisa wa AKIBA COMMERCIAL BANK!!! Mimi ni mwanahisa wa hii benki na huko nyuma ilikubalika kuwa mwenyekiti wa hiyo benki atatokana na wawakilishi wa wanahisa wadogo wazalendo katika bodi; sasa cha kushangaza ni kwamba safairi hii tumewachagua wawakilishi wawili ambao sio wachaga na matokeo yake ni kwamba mkurugenzi mchaga ambae ni mzalendo lakini anawakilisha corporate shareholders ameweza kuwashawishi wanahisa wazungu wakubali kuwa utaratibu sio kuwa mwenyekiti atokane na wawakilishi wa wanahisa wadogo bali wanahisa wote wazawa kitu ambacho kilimuhalalisha yeye kupewa huo uenyekiti na hao wazungu wanaoshirikiana nae kuihujumu hiyo benki; ukweli ni kwamba nyuma ya pazia, mbinu hii ilitumika ili kuhakikisha kuwa MCHAGGA ndio anakuwa mwenyekiti wa hii benki na sio vinginevyo!!! Ukabila wa namna hii lazima tuupige vita kama tunavyowapiga vita magamba!!
Kutopata hati safi kwa vyama vyote hakuondoi makosa kwa chadem....
Muda mrefu hela za chadema zinaliwa na familia za wachaga huko bila kunufaisha wananchi
wote...
Hoja yako imefutwa nakutezwa na hayo maandishi yako mekundu. Aliwashawishi wazungu wala sio wachaga.... wewe
ulishindwa kuwashawishi wazungu lawama kwa wachaga zinaenda vipi?
Wakati mwingine nachelea kuamini kuwa hawa ndugu zetu wa kutoka kaskazini yaani wakina MANGI wana ukabila fulani kama wakikuyu wa Kenya vile na hili limenisononesha sana pale lilipofanywa na watu ambao ni wasomi wa wakiwa wanahisa wa AKIBA COMMERCIAL BANK!!! Mimi ni mwanahisa wa hii benki na huko nyuma ilikubalika kuwa mwenyekiti wa hiyo benki atatokana na wawakilishi wa wanahisa wadogo wazalendo katika bodi; sasa cha kushangaza ni kwamba safairi hii tumewachagua wawakilishi wawili ambao sio wachaga na matokeo yake ni kwamba mkurugenzi mchaga ambae ni mzalendo lakini anawakilisha corporate shareholders ameweza kuwashawishi wanahisa wazungu wakubali kuwa utaratibu sio kuwa mwenyekiti atokane na wawakilishi wa wanahisa wadogo bali wanahisa wote wazawa kitu ambacho kilimuhalalisha yeye kupewa huo uenyekiti na hao wazungu wanaoshirikiana nae kuihujumu hiyo benki; ukweli ni kwamba nyuma ya pazia, mbinu hii ilitumika ili kuhakikisha kuwa MCHAGGA ndio anakuwa mwenyekiti wa hii benki na sio vinginevyo!!! Ukabila wa namna hii lazima tuupige vita kama tunavyowapiga vita magamba!!