Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,301
- 95,661
Siku zote huyo Ifweero mimi huwa namuita kichwa maji,yeye anaongelea matsngazo ya cdm?mbona hasemi lichama lao linalo firisi watanzania kwa ktuibia kodi zetu?wajinga hawataisha. hivi chadema ni serikali?kama ccm imeshindwa kufanya hayo mambo wakiwa serikalini kwanini tuwape kura kama serikali wanazidiwa na chama kimoja cha upinzani tena kinachoendeshwa kwa ruzuku na michango ya wananchi ndo ujiulize kodi zetu zinaenda wapi.